Mheshimiwa Kassim Majaliwa hongera sana kwa kuteuliwa kuwa Waziri Mkuu wa Tanganyika.
Wewe ni mwanamichezo mzuri kwanza ni kocha wa timu ya bunge, pili ni mwanachama hai na mzuri wa Simba Sports Club.
Kwa kutambua kwamba wewe ni mwanamichezo naomba msiisahau hii sekta ya michezo. Najua mna vipaumbele vingi lakini msiisahau michezo. Kwa vile ninavyokufahamu kama mwanasimba mzuri basi hakikisha uozo uliopo katika sekta ya michezo unafagiliwa mbali. Pia sera za michezo zifumuliwe.
Kila la heri kwako.
Simba nguvu moja.
Wewe ni mwanamichezo mzuri kwanza ni kocha wa timu ya bunge, pili ni mwanachama hai na mzuri wa Simba Sports Club.
Kwa kutambua kwamba wewe ni mwanamichezo naomba msiisahau hii sekta ya michezo. Najua mna vipaumbele vingi lakini msiisahau michezo. Kwa vile ninavyokufahamu kama mwanasimba mzuri basi hakikisha uozo uliopo katika sekta ya michezo unafagiliwa mbali. Pia sera za michezo zifumuliwe.
Kila la heri kwako.
Simba nguvu moja.