#COVID19 Hongera nyingi kwa mashujaa ambao hawajachanjwa Covid vaccine yeyote

#COVID19 Hongera nyingi kwa mashujaa ambao hawajachanjwa Covid vaccine yeyote

Mathanzua

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2017
Posts
17,251
Reaction score
22,929
Watu ambao hawajachanjwa ni watu wenye sifa ya ujasiri mkubwa. Ni watu bila shaka wenye sifa ya ukosoaji na bila shaka yeyote pia ni wanadamu bora zaidi kuliko wengine.Hata kama ningechanjwa ningewashangaa wale ambao hawajachanjwa kwa sababu walistahimili shinikizo kubwa ambalo sijawahi kuliona, kutoka serikalini,wazazi, watoto, marafiki, wafanyakazi shirika,madaktari na hata jumuiya za kimataifa.

Watu hawa wana uwezo mkubwa wa kufikiri na kuchambua mambo.Ni watu wenye ujasiri mkubwa na bila shaka yeyote ni wanadamu bora zaidi. Wapo kila mahali, katika nyakati zote, ngazi mbali mbali za elimu, nchi na ufahamu.

Wao ni wa aina maalum, ni askari ambao kila jeshi lingetamani kuwa nao katika safu zake.Hao ndio wazazi ambao kila mtoto angetamani na watoto ambao kila mzazi anawaota.Ni viumbe vinavyoinuka juu ya jamii zao.Hawa ndio asili ya watu ambao wamejenga tamaduni zote na kushinda mapingamizi yote. Wako pale, karibu na wewe, wanaonekana wa kawaida sana,lakini si wa kawaida,ni superbeings and heroes. Walifanya kile ambacho wengine hawakuweza. Walikuwa mti ambao ulivumilia kimbunga cha matusi, ubaguzi na kutengwa na jamii. Na walifanya hivyo kwa sababu walijua walichokuwa wanafanya ni sahihi,ingawa wapo peke yao. Ingawa walijua kuwa wako peke yao,hawana msaada wowote, walivumilia kupigwa, marufuku kwenye meza za familia zao wakati wa Krismasi na vyombo vya usafiri,kiukweli hawaja-wahi kuona ukatili mkubwa kiasi hiki. Walipoteza kazi zao, kazi ambazo ziliwapa mkate wa kila siku.Wengine walikuwa hawana pesa,lakini hawakujali. Walikabiliwa na ubaguzi mkubwa, kulaumiwa, kusalitiwa na kufedheheshwa,lakini waliendelea kusimamia walicho kiamini. Hakujawahi kutokea duniani mazingira ya aina hii.

Sasa tunajua ni nani bora zaidi kwenye sayari ya dunia hii.Ni wanawake, wanaume, wazee, vijana, matajiri, maskini, wa rangi au dini zote, wasiochanjwa.Ni wateule wa safina isiyoonekana, ndio pekee ambao waliweza kupinga unyama huo,wakati kila kitu kilipo-paraganyika. Ni wewe hapo ambaye ulipita mtihani usiofikirika, ambao wengi tuliodhani ni jasiri walishindwa.Marines wa Jeshi la Marekani, Commandos wa majeshi mbali mbali duniani, Green Berets, wanaanga na geniuses wote hawakuweza kustahimili pressure iliyo kuwepo. Hongereni sana kwa kustahimili mateso makubwa kiasi hicho.Ninyi mmetengenezwa kwa nyenzo bora zaidi kuwahi kuwepo, ni mashujaa mliozaliwa na watu wanaong'ara gizani.You are people of pure blood,congratulations.
 
Watu ambao hawajachanjwa ni watu wenye sifa ya ujasiri mkubwa. Ni watu bila shaka wenye sifa ya ukosoaji na bila shaka yeyote pia ni wanadamu bora zaidi kuliko wengine.Hata kama ningechanjwa ningewashangaa wale ambao hawajachanjwa kwa sababu walistahimili shinikizo kubwa ambalo sijawahi kuliona, kutoka serikalini,wazazi, watoto, marafiki, wafanyakazi shirika,madaktari na kumuita za kimataifa.

Watu hawa wana uwezo mkubwa wa kufikiri na kuchambua mambo.Ni watu wenye ujasiri mkubwa na bila shaka yeyote ni wanadamu bora zaidi. Wapo kila mahali, katika nyakati zote, ngazi mbali mbali za elimu, nchi na ufahamu.

Wao ni wa aina maalum, ni askari ambao kila jeshi lingetamani kuwa nao katika safu zake.Hao ndio wazazi ambao kila mtoto angetamani na watoto ambao kila mzazi anawaota.Ni viumbe vinavyoinuka juu ya jamii zao.Hawa ndio asili ya watu ambao wamejenga tamaduni zote na kushinda mapingamizi yote. Wako pale, karibu na wewe, wanaonekana kawaida,lakini si wa kawaida ni superbeings and heroes. Walifanya kile ambacho wengine hawakuweza. Walikuwa mti ambao ulivumilia kimbunga cha matusi, ubaguzi na kutengwa na jamii. Na walifanya hivyo kwa sababu walijua walichokuwa wanafanya ni sahihi,ingawa wapo peke yao. Ingawa walijua kuwa wako peke yao,hawana msaada wowote, walivumilia kupigwa, marufuku kwenye meza za familia zao wakati wa Krismasi, na kiukweli hawaja-wahi kuona ukatili mkubwa kiasi hiki. Walipoteza kazi zao, kazi ambazo ziliwapa mkate wa kila siku.Wengine walikuwa hawana pesa,lakini hawakujali. Walikabiliwa na ubaguzi mkubwa, kulaumiwa, kusalitiwa na kufedheheshwa,lakini waliendelea. Hakujawahi kutokea duniani mazingara ya aina hii.

Sasa tunajua ni nani bora zaidi kwenye sayari ya dunia hii,ni wanawake, wanaume, wazee, vijana, matajiri, maskini, wa rangi au dini zote, wasiochanjwa.Ni wateule wa safina isiyoonekana, ndio pekee ambao waliweza kupinga unyama huo,wakati kila kitu kilipo-paraganyika. Ni wewe,hapo ambaye ulipita mtihani usiofikirika, ambao wengi tuliodhani ni jasiri walishindwa.Marines wa Jeshi la Marekani, Commandos wa majeshi mbali mbali duniani, Green Berets, wanaanga na geniuses wote hawakuweza kustahimili pressure iliyo kuwepo. Hongereni sana kwa kustahimili mateso makubwa kiasi hiki.Ninyi mmetengenezwa kwa nyenzo bora zaidi kuwahi kuwepo, ni mashujaa mliozaliwa na watu wanaong'ara gizani.People of pure blood.Congratulations.
Wengi wa hao ni watu waliojikatia tamaa, tena ambao kwao kufa au kuishi vinalingana.
 
Wewe na Gwajima mlisema watakaochanjwa watageuka Mazombi, tunasubiria mwaka wa pili huu sasa tukutane na hayo mazombi.
Watu ambao hawajachanjwa ni watu wenye sifa ya ujasiri mkubwa. Ni watu bila shaka wenye sifa ya ukosoaji na bila shaka yeyote pia ni wanadamu bora zaidi kuliko wengine.Hata kama ningechanjwa ningewashangaa wale ambao hawajachanjwa kwa sababu walistahimili shinikizo kubwa ambalo sijawahi kuliona, kutoka serikalini,wazazi, watoto, marafiki, wafanyakazi shirika,madaktari na kumuita za kimataifa.

Watu hawa wana uwezo mkubwa wa kufikiri na kuchambua mambo.Ni watu wenye ujasiri mkubwa na bila shaka yeyote ni wanadamu bora zaidi. Wapo kila mahali, katika nyakati zote, ngazi mbali mbali za elimu, nchi na ufahamu.

Wao ni wa aina maalum, ni askari ambao kila jeshi lingetamani kuwa nao katika safu zake.Hao ndio wazazi ambao kila mtoto angetamani na watoto ambao kila mzazi anawaota.Ni viumbe vinavyoinuka juu ya jamii zao.Hawa ndio asili ya watu ambao wamejenga tamaduni zote na kushinda mapingamizi yote. Wako pale, karibu na wewe, wanaonekana kawaida,lakini si wa kawaida ni superbeings and heroes. Walifanya kile ambacho wengine hawakuweza. Walikuwa mti ambao ulivumilia kimbunga cha matusi, ubaguzi na kutengwa na jamii. Na walifanya hivyo kwa sababu walijua walichokuwa wanafanya ni sahihi,ingawa wapo peke yao. Ingawa walijua kuwa wako peke yao,hawana msaada wowote, walivumilia kupigwa, marufuku kwenye meza za familia zao wakati wa Krismasi, na kiukweli hawaja-wahi kuona ukatili mkubwa kiasi hiki. Walipoteza kazi zao, kazi ambazo ziliwapa mkate wa kila siku.Wengine walikuwa hawana pesa,lakini hawakujali. Walikabiliwa na ubaguzi mkubwa, kulaumiwa, kusalitiwa na kufedheheshwa,lakini waliendelea. Hakujawahi kutokea duniani mazingara ya aina hii.

Sasa tunajua ni nani bora zaidi kwenye sayari ya dunia hii,ni wanawake, wanaume, wazee, vijana, matajiri, maskini, wa rangi au dini zote, wasiochanjwa.Ni wateule wa safina isiyoonekana, ndio pekee ambao waliweza kupinga unyama huo,wakati kila kitu kilipo-paraganyika. Ni wewe,hapo ambaye ulipita mtihani usiofikirika, ambao wengi tuliodhani ni jasiri walishindwa.Marines wa Jeshi la Marekani, Commandos wa majeshi mbali mbali duniani, Green Berets, wanaanga na geniuses wote hawakuweza kustahimili pressure iliyo kuwepo. Hongereni sana kwa kustahimili mateso makubwa kiasi hiki.Ninyi mmetengenezwa kwa nyenzo bora zaidi kuwahi kuwepo, ni mashujaa mliozaliwa na watu wanaong'ara gizani.People of pure blood.Congratulations.
 
Wengi wa hao ni watu waliojikatia tamaa, tena ambao kwao kufa au kuishi vinalingana.
Hivi mpaka leo hujatambua kosa lako?Mkuu mazingira tu ya management na administration ya chanjo yalionyesha wazi kwamba there is something amiss!Hivi sensibly utakubalije binadamu mwenzio akuamulie maisha yako,na aingize mwilini mwako kitu ambacho wewe binafsi huna ushahidi wowote kwamba kinafaa na inavyodaiwa kwamba ndivyo kilivyo kweli ndivyo kilivyo?How naive!How can you take such an important thing in your life,which actually means life and death for granted.Hapana,ulifanya makosa makubwa.You simply did not use your upstairs correctly,and was not diagnostic enough.You are therefore responsible for what ever will happen to your life from the day you was vaccinated.Soma hii Let me get this straight about the COVID-19 vaccine kama una courage.Wenzio tulifanya utafiti wa kina kuhusu masumu hayo,hatukutaka kuingia kichwa kichwa.
 
Najua ulishachanja chanjo nyingine na watoto pia umewachanja chanjo kama za polio, tb, kifaduro, donda Koo, surua. Sasa hapo unamaanisha nn
Ndio nilichanja,lakini nilifanya hivyo katika ujinga,sio sasa.Hata hivyo chanjo conventional hazikuwa na athari mbaya kama hizi sumu za Covid-19,ambazo kimsingi sio chanjo, ni millitary grade bioweapons na Operating System which goes by the name of " Microsoft Windows mRNA 666." Na taarifa zote hizi Let me get this straight about the COVID-19 vaccine at my fingertips,bado nichanje,nadhani I will be a loon.
 
Ndio nilichanja,lakini nilifanya hivyo katika ujinga,sio sasa.Hata hivyo chanjo conventional hazikuwa na athari mbaya kama hizi sumu za Covid-19,ambazo kimsingi sio chanjo, ni millitary grade bioweapons na Operating System which goes by the name of " Microsoft Windows mRNA 666." Na taarifa zote hizi Let me get this straight about the COVID-19 vaccine at my fingertips,bado nichanje,nadhani I will be a loon.
Tuanze kampeni sasa ya KUACHA kabisa kutumia VIFAA vya WAZUNGU kama hizi SIMU.

Maana SASA HIVI wameweka MIONZI ukiweka SIKIONI tu, zinaingia kwenye UBONGO na KUKUVURUGA Kila kitu.

Hizi Ni HATARI kulikO Chanjo.
 
Hivi mpaka leo hujatambua kosa lako?Mkuu mazingira tu ya management na administration ya chanjo yalionyesha wazi kwamba there is something amiss!Hivi sensibly utakubalije binadamu mwenzio akuamulie maisha yako,na aingize mwilini mwako kitu ambacho wewe binafsi huna ushahidi wowote kwamba kinafaa na inavyodaiwa kwamba ndivyo kilivyo kweli ndivyo kilivyo?How naive!How can you take such an important thing in your life,which actually means life and death for granted.Hapana,ulifanya makosa makubwa.You simply did not use your upstairs correctly,and was not diagnostic enough.You are therefore responsible for what ever will happen to your life from the day you was vaccinated.Soma hii Let me get this straight about the COVID-19 vaccine kama una courage.Wenzio tulifanya utafiti wa kina kuhusu masumu hayo,hatukutaka kuingia kichwa kichwa.
Vipi waliochanjwa hawajaanza bado kuwa mazombie au hata kupukutika kama majani ya miti ,kiangazi?
 
Watu ambao hawajachanjwa ni watu wenye sifa ya ujasiri mkubwa. Ni watu bila shaka wenye sifa ya ukosoaji na bila shaka yeyote pia ni wanadamu bora zaidi kuliko wengine.Hata kama ningechanjwa ningewashangaa wale ambao hawajachanjwa kwa sababu walistahimili shinikizo kubwa ambalo sijawahi kuliona, kutoka serikalini,wazazi, watoto, marafiki, wafanyakazi shirika,madaktari na hata jumuiya za kimataifa.

Watu hawa wana uwezo mkubwa wa kufikiri na kuchambua mambo.Ni watu wenye ujasiri mkubwa na bila shaka yeyote ni wanadamu bora zaidi. Wapo kila mahali, katika nyakati zote, ngazi mbali mbali za elimu, nchi na ufahamu.

Wao ni wa aina maalum, ni askari ambao kila jeshi lingetamani kuwa nao katika safu zake.Hao ndio wazazi ambao kila mtoto angetamani na watoto ambao kila mzazi anawaota.Ni viumbe vinavyoinuka juu ya jamii zao.Hawa ndio asili ya watu ambao wamejenga tamaduni zote na kushinda mapingamizi yote. Wako pale, karibu na wewe, wanaonekana kawaida,lakini si wa kawaida ni superbeings and heroes. Walifanya kile ambacho wengine hawakuweza. Walikuwa mti ambao ulivumilia kimbunga cha matusi, ubaguzi na kutengwa na jamii. Na walifanya hivyo kwa sababu walijua walichokuwa wanafanya ni sahihi,ingawa wapo peke yao. Ingawa walijua kuwa wako peke yao,hawana msaada wowote, walivumilia kupigwa, marufuku kwenye meza za familia zao wakati wa Krismasi, na kiukweli hawaja-wahi kuona ukatili mkubwa kiasi hiki. Walipoteza kazi zao, kazi ambazo ziliwapa mkate wa kila siku.Wengine walikuwa hawana pesa,lakini hawakujali. Walikabiliwa na ubaguzi mkubwa, kulaumiwa, kusalitiwa na kufedheheshwa,lakini waliendelea. Hakujawahi kutokea duniani mazingara ya aina hii.

Sasa tunajua ni nani bora zaidi kwenye sayari ya dunia hii,ni wanawake, wanaume, wazee, vijana, matajiri, maskini, wa rangi au dini zote, wasiochanjwa.Ni wateule wa safina isiyoonekana, ndio pekee ambao waliweza kupinga unyama huo,wakati kila kitu kilipo-paraganyika. Ni wewe,hapo ambaye ulipita mtihani usiofikirika, ambao wengi tuliodhani ni jasiri walishindwa.Marines wa Jeshi la Marekani, Commandos wa majeshi mbali mbali duniani, Green Berets, wanaanga na geniuses wote hawakuweza kustahimili pressure iliyo kuwepo. Hongereni sana kwa kustahimili mateso makubwa kiasi hiki.Ninyi mmetengenezwa kwa nyenzo bora zaidi kuwahi kuwepo, ni mashujaa mliozaliwa na watu wanaong'ara gizani.You are people of pure blood,congratulations.
Sasa point yako ipi?

Sent from my TECNO BC2c using JamiiForums mobile app
 
Watu ambao hawajachanjwa ni watu wenye sifa ya ujasiri mkubwa. Ni watu bila shaka wenye sifa ya ukosoaji na bila shaka yeyote pia ni wanadamu bora zaidi kuliko wengine.Hata kama ningechanjwa ningewashangaa wale ambao hawajachanjwa kwa sababu walistahimili shinikizo kubwa ambalo sijawahi kuliona, kutoka serikalini,wazazi, watoto, marafiki, wafanyakazi shirika,madaktari na hata jumuiya za kimataifa.

Watu hawa wana uwezo mkubwa wa kufikiri na kuchambua mambo.Ni watu wenye ujasiri mkubwa na bila shaka yeyote ni wanadamu bora zaidi. Wapo kila mahali, katika nyakati zote, ngazi mbali mbali za elimu, nchi na ufahamu.

Wao ni wa aina maalum, ni askari ambao kila jeshi lingetamani kuwa nao katika safu zake.Hao ndio wazazi ambao kila mtoto angetamani na watoto ambao kila mzazi anawaota.Ni viumbe vinavyoinuka juu ya jamii zao.Hawa ndio asili ya watu ambao wamejenga tamaduni zote na kushinda mapingamizi yote. Wako pale, karibu na wewe, wanaonekana kawaida,lakini si wa kawaida ni superbeings and heroes. Walifanya kile ambacho wengine hawakuweza. Walikuwa mti ambao ulivumilia kimbunga cha matusi, ubaguzi na kutengwa na jamii. Na walifanya hivyo kwa sababu walijua walichokuwa wanafanya ni sahihi,ingawa wapo peke yao. Ingawa walijua kuwa wako peke yao,hawana msaada wowote, walivumilia kupigwa, marufuku kwenye meza za familia zao wakati wa Krismasi, na kiukweli hawaja-wahi kuona ukatili mkubwa kiasi hiki. Walipoteza kazi zao, kazi ambazo ziliwapa mkate wa kila siku.Wengine walikuwa hawana pesa,lakini hawakujali. Walikabiliwa na ubaguzi mkubwa, kulaumiwa, kusalitiwa na kufedheheshwa,lakini waliendelea. Hakujawahi kutokea duniani mazingara ya aina hii.

Sasa tunajua ni nani bora zaidi kwenye sayari ya dunia hii,ni wanawake, wanaume, wazee, vijana, matajiri, maskini, wa rangi au dini zote, wasiochanjwa.Ni wateule wa safina isiyoonekana, ndio pekee ambao waliweza kupinga unyama huo,wakati kila kitu kilipo-paraganyika. Ni wewe,hapo ambaye ulipita mtihani usiofikirika, ambao wengi tuliodhani ni jasiri walishindwa.Marines wa Jeshi la Marekani, Commandos wa majeshi mbali mbali duniani, Green Berets, wanaanga na geniuses wote hawakuweza kustahimili pressure iliyo kuwepo. Hongereni sana kwa kustahimili mateso makubwa kiasi hiki.Ninyi mmetengenezwa kwa nyenzo bora zaidi kuwahi kuwepo, ni mashujaa mliozaliwa na watu wanaong'ara gizani.You are people of pure blood,congratulations.
Sasa hivi tunapambana na tozo mjomba. Kwamba yaonesha unaugulia nyongo kuona waliochanjwa wanadunda tu? Kwanini ya Ngoswe usimwachie Ngoswe mwenyewe?
 
Ngoja madactari uchwara waje na falsafa zao za COPY AND PASTE, wanajikutaga Much know, kumbe elimu yenyewe ya kukalili kwenye vitabu vya wakoloni, vilivyochakachua mambo ya msingi na kuacha makapi kwaajili ya hawa vilaza wetu tunaowategemea watusaidie, kumbe badala yake hawataki kujiongeza, zaidi ya kutuaminisha kuwa kila wafanyalo ama waambiwalo na wakubwa wao wa falsafa ni SAHIHI.

Upumbavu huu ndio unaochelewesha maendeleo ya Afrika na dunian kote kwa kuwategemea baadhi ya wahuni wanaojiona kuwa wako sahihi kwa kila jambo
 
Back
Top Bottom