Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Wapendwa leo nimejumuika kula chakula cha pamoja na ndugu yetu baba yetu
past mrondoko...si haba kumpongeza kwa kufikisha miaka kumi ya ndoa...
past alianza safari ya wito akiwa na mwaka mmoja wa ndoa...mama akampokea akampenda akiwa hana ajira,..wakaishi kadri yesu alivyotaka kuishi..kama usemi wangu wa kila siku
ukitaka kuwa wa thaman lazima uptishwe sehemu fulan ili uonekane wa thamani..kipindi hicho wanasali kwenye myumba ya matope wakiwa na waumini 3 leo hii yuko kwenye nyumba ya thamani...ya matofali na waumini si chini ya 50...wapendwa mlioitwa na bwana msikate tamaa kwa YESU akuna kubahatisha narudia hili kuna wachungaji wengi wa makanisa mbali mbali walipopea sehemu za kuabudia waliishia kutembelea na kutangaza kama wito ni huu nahisi bwana akuniita kuteeka...unaitaji upite sehemu fulan uweze kuhifadhiwa...
yawezekana na wewe ni mtumishi una waumini 3 mlilie mungu ndie mweza yote
Uabarikiwe baba MUNGU akakuhifadhi na damu ya yesu sawa na walawi 17 : 11
ufunuo 12:11 ikawe juu yako
past mrondoko...si haba kumpongeza kwa kufikisha miaka kumi ya ndoa...
past alianza safari ya wito akiwa na mwaka mmoja wa ndoa...mama akampokea akampenda akiwa hana ajira,..wakaishi kadri yesu alivyotaka kuishi..kama usemi wangu wa kila siku
ukitaka kuwa wa thaman lazima uptishwe sehemu fulan ili uonekane wa thamani..kipindi hicho wanasali kwenye myumba ya matope wakiwa na waumini 3 leo hii yuko kwenye nyumba ya thamani...ya matofali na waumini si chini ya 50...wapendwa mlioitwa na bwana msikate tamaa kwa YESU akuna kubahatisha narudia hili kuna wachungaji wengi wa makanisa mbali mbali walipopea sehemu za kuabudia waliishia kutembelea na kutangaza kama wito ni huu nahisi bwana akuniita kuteeka...unaitaji upite sehemu fulan uweze kuhifadhiwa...
yawezekana na wewe ni mtumishi una waumini 3 mlilie mungu ndie mweza yote
Uabarikiwe baba MUNGU akakuhifadhi na damu ya yesu sawa na walawi 17 : 11
ufunuo 12:11 ikawe juu yako