Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Ndugu zanguni si haba kuwapa hawa ndugu zetu wanaojaribu kujitoa katika soko la urtumwa la swissport;leo hii swissport wameanza rasmi kujitegemea kwenye handling ...kazi ambayo imekuwa ikifanywa kwa pesa nyingi zisizo na aibu na swissport...leo hii wamefungua milango kuonyesha jamii kwamba ule ukiritimba wa swissport kuwa kampuni pekee ya handling airport imekwisha...Hongereni sana sana na sana
WAZO
Katika biashara kuna mambo mengi ya ushinddani...na pia kuna upumbavu mwingi unafanyw na wachache nakuonekana kampuni nzima...labda cha kuwasaida kama mmeamua kuwaserious jitahidini kuwa makini katika mambo yafuatayo
1) EXCESS
Tayari kuna kampuni nyingi sana......,zimekuwa zikikosa mapato kutokana na excess baggage kuchukuliwa na watu badala ya kuingizwa moja kwa moja kwenye kampuni...hili ni kuwahimiza abiria wasikubali kutoa hongo kila walipapo hela za mizigo ya ziada.....lingine
WAZO
Katika biashara kuna mambo mengi ya ushinddani...na pia kuna upumbavu mwingi unafanyw na wachache nakuonekana kampuni nzima...labda cha kuwasaida kama mmeamua kuwaserious jitahidini kuwa makini katika mambo yafuatayo
1) EXCESS
Tayari kuna kampuni nyingi sana......,zimekuwa zikikosa mapato kutokana na excess baggage kuchukuliwa na watu badala ya kuingizwa moja kwa moja kwenye kampuni...hili ni kuwahimiza abiria wasikubali kutoa hongo kila walipapo hela za mizigo ya ziada.....lingine