lulu za uru
JF-Expert Member
- Aug 7, 2015
- 2,557
- 3,221
Jamani hakuna aliyekamilika ila sifa ya MTU apewe akiwa hai aisikie. Profesa Palamagamba Aidani Kabudi anajua kutamka matamshi ya lugha sana, kusoma kwa kufuata vituo zile nukta, mkato, koma, funga na fungu semi na alama nyingine akipewa paragraph akusomee sio siri utafurahia sana aina ya usomaji wake. Ana sauti ya kimamlaka sana.
Hongera hapa lazima watakumbushia ile ya kutolewa jalalani ila tukumbuke. Hakuna mkamilifu chini ya jua.....
Hongera hapa lazima watakumbushia ile ya kutolewa jalalani ila tukumbuke. Hakuna mkamilifu chini ya jua.....