Hongera Putin kwa kujiondoa Ukraine

Hongera Putin kwa kujiondoa Ukraine

Kwa wale wazoefu wa hizi mambo kama kina Mshana Jr watakuwa wamenielewa
Mkuu kongole, wanaojifanya wajuzi tayari wamekushambulia bila hata kufikiri. Mimi, pamoja na kuwa siyo mshana na ni mshabiki mkubwa wa putin, nimekueleaa pia.........nimeunganisha dots tu nami nimepafa majibu.
 
Unautani na timu NATO?Wameshatumbukia kwenye shimo reefu.
20230411_222939.jpg
 
Back
Top Bottom