Mkuu kongole, wanaojifanya wajuzi tayari wamekushambulia bila hata kufikiri. Mimi, pamoja na kuwa siyo mshana na ni mshabiki mkubwa wa putin, nimekueleaa pia.........nimeunganisha dots tu nami nimepafa majibu.Kwa wale wazoefu wa hizi mambo kama kina Mshana Jr watakuwa wamenielewa
[emoji3][emoji3][emoji818][emoji419][emoji375]Kwa wale wazoefu wa hizi mambo kama kina Mshana Jr watakuwa wamenielewa
Duh [emoji23] [emoji1544][emoji1550]Umeandika nini hiki halafu una mtag mshana ili aonekane anajuana na mtu asiyeeleweka kama wewe.
Uzi wa kipumbavu sijapata kuona tangu nijiunge jfHivi Kuna haja yakuanzisha thread kama hii?. Ndio maana watu wanaona Kuna umuhimu wakuuza bandari zetu watanganyika.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Hivi Kuna haja yakuanzisha thread kama hii?. Ndio maana watu wanaona Kuna umuhimu wakuuza bandari zetu watanganyika.