Hongera Rais kwa kuamua kujipa likizo ya muda kuruhusu nafsi yako itafakari kuhusu kesho ya Tanzania; tunategemea mema baada ya mapumziko mafupi

Hongera Rais kwa kuamua kujipa likizo ya muda kuruhusu nafsi yako itafakari kuhusu kesho ya Tanzania; tunategemea mema baada ya mapumziko mafupi

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Kiongozi hupimwa kwa uwepo wa kuvumilia mishale kipindi cha shida na kipindi cha hoja za kitaifa. Rais ameona upepo wa kisiasa, ametambua uwepo wa tafsiri mbaya dhidi ya nia yake ya kutafuta wawekezaji wa bandari.

Ili kujipa muda maalum wakitafakari naamini ameamua kukaa sehemu ambayo atafanya self evaluation n kuona gaps ambazo anapaswa kuziba ili mipango yake isiwe na madhara yanayotabiriwa na wanazuoni na wanasiasa.

Naamini akirejea atakuja na suluhu kama siyo tiba ya mpasuko unaoendelea. Mama ni mcha Mungu; akiomba dua kwenye eneo la mikataba naamini atapewa majibu.

Tunachopaswa kufanya ni kuzidi kumwombea aongozwe na Roho wa Mungu kutongoza kwenda nchi ya ahadi.

Moto wa Niger, chadi na kinachoendelea south Afrika kuhusu kurejesha rasilimali kwa umma kiwe sehemu ya maamuzi ya mama.
 
Kukaa kimya inaweza pia kuwa ametumia msemo wa watanzania kuwa: Kelele za chura hazimzuii mtu kuchota maji! Hebu tujipe muda kidogo tutatambua tu msimamo wake!!! Haiingii akilini kulinyamazia jambo kubwa sana kama hili!!
 
Kiongozi hupimwa kwa uwepo wa kuvumilia mishale kipindi cha shida na kipindi cha hoja za kitaifa. Rais ameona upepo wa kisiasa, ametambua uwepo wa tafsiri mbaya dhidi ya nia yake ya kutafuta wawekezaji wa bandari.

Ili kujipa muda maalum wakitafakari naamini ameamua kukaa sehemu ambayo atafanya self evaluation n kuona gaps ambazo anapaswa kuziba ili mipango yake isiwe na madhara yanayotabiriwa na wanazuoni na wanasiasa.

Naamini akirejea atakuja na suluhu kama siyo tiba ya mpasuko unaoendelea. Mama ni mcha Mungu; akiomba dua kwenye eneo la mikataba naamini atapewa majibu.

Tunachopaswa kufanya ni kuzidi kumwombea aongozwe na Roho wa Mungu kutongoza kwenda nchi ya ahadi.

Moto wa Niger, chadi na kinachoendelea south Afrika kuhusu kurejesha rasilimali kwa umma kiwe sehemu ya maamuzi ya mama.
Kikubwa mama fungal koki wanaolalamika niwapuuzi tu bandari kodisha tunataka pesa pesa inayopatikana kwasasa nikidogo kwakuwa wanajuwa uposawa umewaita mezani kujadili hawaji wanasemea pembeni mbwa hawa pelekeni mawazo ilibandari itupe pesa zakutosha hawataki mama piga kazi
 
Kiongozi hupimwa kwa uwepo wa kuvumilia mishale kipindi cha shida na kipindi cha hoja za kitaifa. Rais ameona upepo wa kisiasa, ametambua uwepo wa tafsiri mbaya dhidi ya nia yake ya kutafuta wawekezaji wa bandari.

Ili kujipa muda maalum wakitafakari naamini ameamua kukaa sehemu ambayo atafanya self evaluation n kuona gaps ambazo anapaswa kuziba ili mipango yake isiwe na madhara yanayotabiriwa na wanazuoni na wanasiasa.

Naamini akirejea atakuja na suluhu kama siyo tiba ya mpasuko unaoendelea. Mama ni mcha Mungu; akiomba dua kwenye eneo la mikataba naamini atapewa majibu.

Tunachopaswa kufanya ni kuzidi kumwombea aongozwe na Roho wa Mungu kutongoza kwenda nchi ya ahadi.

Moto wa Niger, chadi na kinachoendelea south Afrika kuhusu kurejesha rasilimali kwa umma kiwe sehemu ya maamuzi ya mama.
Alishasema ameziba maskio kwanini nyie bado mnamwita msikivu?!
 
Kikubwa mama fungal koki wanaolalamika niwapuuzi tu bandari kodisha tunataka pesa pesa inayopatikana kwasasa nikidogo kwakuwa wanajuwa uposawa umewaita mezani kujadili hawaji wanasemea pembeni mbwa hawa pelekeni mawazo ilibandari itupe pesa zakutosha hawataki mama piga kazi
mbwa ni wewe na mamako mnaonufaika na hongo ya warabu wauza watumwa Africa mashariki ndio maana mnakuja na story za kipumbavu eti nchi itapata trillion 27, stiry hizo mpelekee mamako nyumbani kwenu maana ni mapoyoyo sio kutuletea sisi wenye akili timamu.
 
Amejizima data. Anasubiri 2025 ashinde kwa kishindo kama wanavyomwambia kuwa hakujawahi kuwa na rais anayekubalika kama yeye ukanda wa Afrika tangu dunia iumbwe.
 
Kikubwa mama fungal koki wanaolalamika niwapuuzi tu bandari kodisha tunataka pesa pesa inayopatikana kwasasa nikidogo kwakuwa wanajuwa uposawa umewaita mezani kujadili hawaji wanasemea pembeni mbwa hawa pelekeni mawazo ilibandari itupe pesa zakutosha hawataki mama piga kazi
Nani na ni lini waliitwa mezanj? Nadhani kauli pekee iliyosikika kutoka kwake ilikuwa ni, 'ameziba masikio; Tanzania ni moja'
 
20141018_MAP004_0.jpg
 
Ningelikuwa ndio rais SAMIAH,ningejipa likizo ya miezi 3,huku nikifanya kazi indoor, bila kuonekana hadharani na ndio maana ya wengine pia kuwajibika,na ndio maana ya kuwepo makamu, Representatives katika kila ngazi za kiutawala./uongozi.
(JIPUMZISHE RAIS WETU MPENDWA KWA AFYA NJEMA)
CC,
SSH.
 
Kiongozi hupimwa kwa uwepo wa kuvumilia mishale kipindi cha shida na kipindi cha hoja za kitaifa. Rais ameona upepo wa kisiasa, ametambua uwepo wa tafsiri mbaya dhidi ya nia yake ya kutafuta wawekezaji wa bandari.

Ili kujipa muda maalum wakitafakari naamini ameamua kukaa sehemu ambayo atafanya self evaluation n kuona gaps ambazo anapaswa kuziba ili mipango yake isiwe na madhara yanayotabiriwa na wanazuoni na wanasiasa.

Naamini akirejea atakuja na suluhu kama siyo tiba ya mpasuko unaoendelea. Mama ni mcha Mungu; akiomba dua kwenye eneo la mikataba naamini atapewa majibu.

Tunachopaswa kufanya ni kuzidi kumwombea aongozwe na Roho wa Mungu kutongoza kwenda nchi ya ahadi.

Moto wa Niger, chadi na kinachoendelea south Afrika kuhusu kurejesha rasilimali kwa umma kiwe sehemu ya maamuzi ya mama.
Uongozi wa Rais siyo wa mtu mmoja.. ni taasisi yenye watu na mawazo, yeye ni sehemu yao na spika wa nchi baada ya mawazo ya wengi, so usimseme yeye tu peke yake, na unaweza dhani kaenda likizo lakini kumbe ndo wamejifungia kutafakari mengi dhidi ya nchi, Rais naamini halali usingizi mzuri kwa sababu ya mambo mengi, uongozi huo siyo wa mchezo na unahitaji mtu ambaye ni MUNGU ndiyo alimteua kweli kweli
 
Nani na ni lini waliitwa mezanj? Nadhani kauli pekee iliyosikika kutoka kwake ilikuwa ni, 'ameziba masikio; Tanzania ni moja'
Sio kweli. mkuu alisema mwenye hoja anakaribishwa nenda hata Leo ukasikilizwe
 
mbwa ni wewe na mamako mnaonufaika na hongo ya warabu wauza watumwa Africa mashariki ndio maana mnakuja na story za kipumbavu eti nchi itapata trillion 27, stiry hizo mpelekee mamako nyumbani kwenu maana ni mapoyoyo sio kutuletea sisi wenye akili timamu.
Kikubwa natambua mama yako ninguruwe usingemtukana mama nisingemgusa mama yako tupambane wenyewe wazazi hawahusiki kabisa
 
Safi kama yuko likizo

Mapumziko muhimu sana

Ova
Kabisa, mwili unahitaji kupumzishwa kila mara na ikibidi kupata nafasi ya kutafakari zaidi, naamini atakuwa na mawazo chanya ya kujenga zaidi nchi yetu kwa pamoja.
 
mbwa ni wewe na mamako mnaonufaika na hongo ya warabu wauza watumwa Africa mashariki ndio maana mnakuja na story za kipumbavu eti nchi itapata trillion 27, stiry hizo mpelekee mamako nyumbani kwenu maana ni mapoyoyo sio kutuletea sisi wenye akili timamu.
Kaka.Usijione umemaliza.Unaishi dunia hii ambayo na sisi tunaishi.

Matusi ya nini?Mbona unaitafuta jela kwa spidi sana.

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom