bulicheka 4
JF-Expert Member
- Mar 22, 2020
- 915
- 1,019
Jana Mh Rais akiwa eneo la Kizota ukifungua nyumba za askari wa Magereza ulitamka kuna eneo wananchi wanafukuzwa na mapanga.
Ni kweli kabisa. Cha ajabu uongozi umekaa kimya na kuwapa wababe wenye silaha kuzidi kumega ardhi za wamama wajane na wakongwe waliostaafu.
Ardhi kwa maelekezo hati zao za miaka 33 zimekwisha muda. Kudai eneo wamenyang'anywa linapimwa upya na kugawiwa waliovamia na kujenga.
Tunaomba Mh Rais pua yako inuse zaidi
Ni kweli kabisa. Cha ajabu uongozi umekaa kimya na kuwapa wababe wenye silaha kuzidi kumega ardhi za wamama wajane na wakongwe waliostaafu.
Ardhi kwa maelekezo hati zao za miaka 33 zimekwisha muda. Kudai eneo wamenyang'anywa linapimwa upya na kugawiwa waliovamia na kujenga.
Tunaomba Mh Rais pua yako inuse zaidi