Hongera Rayvany kupiga show ya kibabe Hungary. Ushauri

Hongera Rayvany kupiga show ya kibabe Hungary. Ushauri

Thailand

JF-Expert Member
Joined
Nov 15, 2019
Posts
275
Reaction score
795
Kwanza nichukue fursa hii kama watanzania wengine kukupongeza ndugu yetu Rayvany kwa kupiga show moja matata sana kwenye tuzo za MTV zilizofanyika Budapest nchini Hungry.

Kwa ufupi ile show imekuweka kwenye position nzuri kuendelea kutoboa kimataifa, thamani yako imepanda sana sokoni. Utatafutwa sana na wasanii wadogo kwa wakubwa ili kufanya collabo, kikubwa ni wewe kuijua thamani yako bila kuringa.

Ushauri
1. Zuia collabo nyepesi hasa kwa wasanii wa bongo except Diamond platinum.

2. Achana na miziki ya kulialia kizazi cha leo watu wanapenda mziki wa kuwaburudisha na kucheza. Tetema ilikidhi vigezo.

3. Mziki huko Latin America na Tetema imeshakufungulia njia huko. Tuma show yako hiyo kwa wasanii wakubwa then waombe collabo kupeleka mziki wako juu.
 
Aisee nimeipanda hiyo shooo dah unaweza tamani iwe ndio official video.

Inanikumbusha wimbo unaitwa la culpa umeimbwa na luis fonsi
 
Kuna mmakonde akiona hivi ata post tena Voice Note
 
Kwanza nichukue fursa hii kama watanzania wengine kukupongeza ndugu yetu Rayvany kwa kupiga show moja matata sana kwenye tuzo za MTV zilizofanyika Budapest nchini Hungry.
Hapo huyo mLatino Maluma ndio atafaidi sana na hio performance.
 
Kwanza nichukue fursa hii kama watanzania wengine kukupongeza ndugu yetu Rayvany kwa kupiga show moja matata sana kwenye tuzo za MTV zilizofanyika Budapest nchini Hungry.
Uko sahihi. Akifanya right decisions going foward itamsaidia. Lakini yuko chini ta Mondi, hopefully Mondi naye atamsaidia afanye right decisions.
 
Kama namuona mmakonde baada ya kutumia mihadharati anavyoiangalia hii video huku anawaza apige voice note ipi😆🚬💨

IMG_20211119_221922.jpg
 
""Ama kweli mondi ni mnyonyaji""
Alisikika kijana wa tandahimba akiwatonya wanahabari.😂😂
 
Back
Top Bottom