Gift mzalendo
JF-Expert Member
- Dec 13, 2019
- 1,856
- 2,417
Kwa kifupi Sabaya amefunua ukweli ambao wengi tusingeweza kuufahamu kirahisi.
Kwanza ni ujasiri mkubwa kuwataja viongozi wakubwa kwenye kesi ambayo inaonyesha Kuna uhalifu, Kukiri kwamba alitumwa na mamlaka ya uteuzi ni dhahiri kwamba kuna uwezekano kwamba nayo ilihusika.
Wengi tunafamu vitendo vingi viovu vilivyofanywa na watu ambao tuliambiwa hawajulikani mpaka leo, pamoja na kuwa na Jeshi la polisi na vitengo vya upelelezi. Ikizingatiwa pia baadhi ya vitendo hivyo viliacha ushahidi wa kutosha kama video, CCTV, finger print nk
Kwa vile amekiri kwamba kuna matukio mengine mengi amefanya kwa staili hiyo, nashauri apewe nafasi ya kuelezea matukio yote aliyoyafanya ili yachunguzwe , tunaweza kubaini Mambo mengi yasiyojulikana.
Kwanza ni ujasiri mkubwa kuwataja viongozi wakubwa kwenye kesi ambayo inaonyesha Kuna uhalifu, Kukiri kwamba alitumwa na mamlaka ya uteuzi ni dhahiri kwamba kuna uwezekano kwamba nayo ilihusika.
Wengi tunafamu vitendo vingi viovu vilivyofanywa na watu ambao tuliambiwa hawajulikani mpaka leo, pamoja na kuwa na Jeshi la polisi na vitengo vya upelelezi. Ikizingatiwa pia baadhi ya vitendo hivyo viliacha ushahidi wa kutosha kama video, CCTV, finger print nk
Kwa vile amekiri kwamba kuna matukio mengine mengi amefanya kwa staili hiyo, nashauri apewe nafasi ya kuelezea matukio yote aliyoyafanya ili yachunguzwe , tunaweza kubaini Mambo mengi yasiyojulikana.