Imekua ni vigumu sana kwa watu wenye majina makubwa kama diamond kutambua mchango wa watu flani waliomsaidia kufika level flan ya maendeleo...
Personally nimependa sana alichokipost huyu kijana katika page yake ya instagram na hapa anazidi kunifanya niwashangae watu wanaodai kua chibu ana dharau...
Keep it up brother, you inspire a bunch of youths to struggle, na wewe ni kielelezo kizuri cha msemo wa "kila kitu kinawezekana chini ya jua" no matter where you from OR who you are, the only thing that matters is the commitment and efforts you put in what you do...