Hongera sana Mhariri wa gazeti la Nipashe

Hongera sana Mhariri wa gazeti la Nipashe

Gulwa

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2008
Posts
10,597
Reaction score
16,394
Siku hizi kuna ukosefu mkubwa wa habari kutoka kwenye media zetu karibu zote. Ukiangalia magazeti karibu yote habari zao ni uchawa mwanzo mwisho. Gazeti la nipashe angalau mhariri ameonyesha ujasiri wa kuweza kuandika bila woga na uchawa. Najua karibuni utapata misukosuko kutoka kwa mafisadi wenye madaraka, lakini kwa sasa umejaribu
 
Siku hizi kuna ukosefu mkubwa wa habari kutoka kwenye media zetu karibu zote. Ukiangalia magazeti karibu yote habari zao ni uchawa mwanzo mwisho. Gazeti la nipashe angalau mhariri ameonyesha ujasiri wa kuweza kuandika bila woga na uchawa. Najua karibuni utapata misukosuko kutoka kwa mafisadi wenye madaraka, lakini kwa sasa umejaribu
Sisi ambao hatuna kopi ya gazeti hilo, angalu ungetuwekea hapa wameandika nini
 
Bila picha hii habari ni takataka
Nimeongea kwa ujumla uandishi wao una nafuu ukilinganisha na wengine

Mtoa mada, ametoa mealezo mazuri na ya kueleweka.
Braza yuuaaa yusleees!
▶︎•|၊|။||||။၊|။|||။|||။ 02:21
 
Back
Top Bottom