Hongera sana Millen Magesa kwa kupigana na ugonjwa wa Endometriosis!

tramadol

JF-Expert Member
Joined
Oct 10, 2015
Posts
5,383
Reaction score
4,323
30/03/2016 ndio siku uliyofanya semina elekezi pale Turiani sekondari kwa wanafunzi wa shule mbalimbali za Sekondari, juu ya ugonjwa wa Endometriosis ambao umekutesa kwa muda mrefu sana
.
.Kikubwa ninachokikumbuka ni jinsi ulivyokuwa ukielezea madhara yanayotokana na ugonjwa huu ni pamoja na kuweza kusababisha ugumba, na hapa ndipo ulipokuwa ukitoa machozi kwa kusikitika kuwa hutaweza kuitwa mama.
Lakini leo hii tunazungumza tofauti, sasa unaitwa mama KAIRO, umeonesha dunia kuwa Mungu ndiye muamuzi wa mwisho, tusiache wala kuchoka kumuomba.
Hongera sana dear Millen Magesa
 
Hongera sana kwa Matunda hayo...
 
Swali la 2 ni:
Nani baba baby wake..?
 
Askwambie mtu mwanamke
Akikosa kuzaa n sawa na
Kuzka mait ikiwa hai

Wema na jide wanajua
Wenywe wanayoyapitia huko
Waliko

[Color= yellow]Triple A[/color]
 
Askwambie mtu mwanamke
Akikosa kuzaa n sawa na
Kuzka mait ikiwa hai

Wema na jide wanajua
Wenywe wanayoyapitia huko
Waliko

[Color= yellow]Triple A[/color]

Maiti halafu iwe hai??
 
Askwambie mtu mwanamke
Akikosa kuzaa n sawa na
Kuzka mait ikiwa hai

Wema na jide wanajua
Wenywe wanayoyapitia huko
Waliko

Triple A
Very painful kisaikolojia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…