sasa hivi hapatikani tena jf!anachungulia tu.yupo bize sana na biznecShida moja ya kijiwe hiki ni wale wanaokosa kwa kuweka vitu vyao vya zamani wana kuja kuviacha kwako!
Baada ya mwaka tumtembelee tuone alivyojikusanyia spea!
But congrats mkuu kaiza Mkono mtupu aulambwi
CHEKA MAMA!maisha yenyewe yako wapi ya kisiraniππ
mpwaaz ndo ametoka hivyo
HAHAHAHA!mwaka wa biashara huu banaπWajameni mambo ndo kama ivo mwaka huu 2010 kikazi zaidi
si mwaniona nipo mlangoni hapo nawasubiria wateja
Tv na electronics za kisasa na zamani zote zinapokelewa
Mteja kwangu mfalme
Karibuni sana
HAHAHAHA!mwaka wa biashara huu banaπ