Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Kwani huyu ni rais wa kwanza kuwa tofauti kimtazamo na Ayatullah ?Sio undercover kweli huyu? Misimamo yake kama haieleweki eleweki; inapishana na Ayatollah's to some extent.
Shia sio Waislam na kama huamini kawaulize Sunni.Wadau hamjamboni nyote?
Haya ni maoni yangu binafsi kwa Rais wa Iran
Naamini anakubalika na wote kuanzia mashariki hadi magharibi, kaskazini hadi kusini!
Mwenyezi Mungu azidi kumpa hekima, ulinzi pamoja na weledi ili kusudi afanikishe kikamilifu malengo yanayotokana na majukumu halisi uliyokabidhiwa
Kwangu Mimi wewe ndiye chaguo Bora na sahihi kabisa kuongoza taifa la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran
Niwatakie usiku mwema
Ww mjaa makamasi kichwani kabla ya kuomba uongozi wenye akili ndani ya Iran kwa nini usiuombe kwenye nchi yako iliyo jaa umasikini na kila aina ya takataka?Iran ikipata kiongozi mwenye hekima, wananchi wake wataishi maisha mazuri, ya furaha na amani. Wana utajiri mkubwa wa mafuta, lakini wananchi wake wananishi kwenye umaskini na ugandamizaji mkubwa wa uhuru na haki za, huku Serikali ikitumia sehemu kubwa ya mapato yake kufadhili magaidi na kutengeneza makombora, na nchi ikiwa chini ya vikwazo vya kiuchumi.
Fikiria kwa utajiri wa mafuta wa Iran, halafu 30% ya watu wake wanaishi kwenye umaskini mbaya kupindukia, sawa na wa kwetu Tanzania!!
Poverty in Iran has been increasing in recent years:
- Poverty rate
In 2023, the poverty rate in Iran was 30.1%, up 0.4 percentage points from 2022. This means that more than 26 million Iranians live below the poverty line.
Mimi huwa najadiliana na watu wenye akili timamu tu, siyo watu waropokaji, bali wale wanaoweza kujenga hoja, na wenye upeo mpana wa uelewa kwenye jambo linalojadiliwa. Wewe tafuta wa viwango vyako.Ww mjaa makamasi kichwani kabla ya kuomba uongozi wenye akili ndani ya Iran kwa nini usiuombe kwenye nchi yako iliyo jaa umasikini na kila aina ya takataka?
Ww mtawaliwa wa ccm una nini cha kuwashauli wairan?
Anaongoza Jamhuri ya Kiislaam😂Kafanyaje sasa hiyo hongera unampatia kwa sababu zipi