Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Mm binafsi matokeo ya jana yameniburudisha kidogo ingawa naamini Simba ingekuwa na ubora ninaoujua mimi, jana ilikuwa na uwezo wa kufuzu bila kuangalia gemu ya leo ya Gwaneng vs Wydad wala mechi ya mwisho.
Benchika bado hajaibadilisha Simba, kiwango bado sio cha kuvutia.Kipindi cha kwanza wengi tuliona mapungufu ndani ya timu na namna formation anayotumia Benchika ilivyo complex.
Babacar Sarr kiukwel bado, mm naamini Awesu Awesu au yule Akaminko au Yahya Zayd wa Azam au Bajana wana uwezo kuliko Babacar.
Babacar anarudisha sana mipira nyuma, haisukumi timu kwenda mbele, haangalii mbele kuna nn, ukimpa mpira anarudisha kwa manula au kwa inonga au kapombe, anakaribisha mashambulizi.
Chama alicheza vzr lkn naona kuna mkakati wa Benchika wa kumpeleka Yanga kiungo huyu fundi wa mpira.
Ngoma ni mzuri ila yuko slow na wakati mwingine ungongoti wake unampa shida.
Kuwachezesha pamoja Kanoute, Ngoma na Babacar ni changamoto kubwa, timu haiendi na ndio maana Pa Omary Jobe alikuwa akicheza rafu tu.
Ntibazonkiza ana mchango mkubwa sana, kama Robertinho alimpanga, akaja Benchika anaendelea naye, mm nisiyesomea ukocha ni nani nimbishie.
Freddy hapana, hapana, uongozi uliingia mkenge kumtema Baleke, ikiwezekana Baleke arudishwe.
Ni afadhali twende na John Bocco Adebayor lkn sio Freddy.Mchovu sana.
Micquisone anapambana sana lkn kiukweli kiwango hakipo, msimu ujao hatunaye.
Simba ingekuwa na akaminko, awesu, Feitoto, ayoub lyanga naamini ingekuwa bora zaidi, ushauri wangu Babacar, Freddy, Pa omary, Kanoute, Micquisone na kwa sababu pia Saido ana pressure ya mashabiki wapeni mkono wa kwaheri, hawana jipya tena.
Professional kama Sadio kanoute unapata chance kama ile unaikosaje?
All in all mungu nipe furaha leo mbuzi wa kijani waliojipaka rangi kama mademu wa baa wafe zozote zile.
Benchika bado hajaibadilisha Simba, kiwango bado sio cha kuvutia.Kipindi cha kwanza wengi tuliona mapungufu ndani ya timu na namna formation anayotumia Benchika ilivyo complex.
Babacar Sarr kiukwel bado, mm naamini Awesu Awesu au yule Akaminko au Yahya Zayd wa Azam au Bajana wana uwezo kuliko Babacar.
Babacar anarudisha sana mipira nyuma, haisukumi timu kwenda mbele, haangalii mbele kuna nn, ukimpa mpira anarudisha kwa manula au kwa inonga au kapombe, anakaribisha mashambulizi.
Chama alicheza vzr lkn naona kuna mkakati wa Benchika wa kumpeleka Yanga kiungo huyu fundi wa mpira.
Ngoma ni mzuri ila yuko slow na wakati mwingine ungongoti wake unampa shida.
Kuwachezesha pamoja Kanoute, Ngoma na Babacar ni changamoto kubwa, timu haiendi na ndio maana Pa Omary Jobe alikuwa akicheza rafu tu.
Ntibazonkiza ana mchango mkubwa sana, kama Robertinho alimpanga, akaja Benchika anaendelea naye, mm nisiyesomea ukocha ni nani nimbishie.
Freddy hapana, hapana, uongozi uliingia mkenge kumtema Baleke, ikiwezekana Baleke arudishwe.
Ni afadhali twende na John Bocco Adebayor lkn sio Freddy.Mchovu sana.
Micquisone anapambana sana lkn kiukweli kiwango hakipo, msimu ujao hatunaye.
Simba ingekuwa na akaminko, awesu, Feitoto, ayoub lyanga naamini ingekuwa bora zaidi, ushauri wangu Babacar, Freddy, Pa omary, Kanoute, Micquisone na kwa sababu pia Saido ana pressure ya mashabiki wapeni mkono wa kwaheri, hawana jipya tena.
Professional kama Sadio kanoute unapata chance kama ile unaikosaje?
All in all mungu nipe furaha leo mbuzi wa kijani waliojipaka rangi kama mademu wa baa wafe zozote zile.