Hongera sana timu ya simba

Hongera sana timu ya simba

Koryo2

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2016
Posts
2,056
Reaction score
2,519
Mtanange wa leo kati ya Simba na TP mazembe ulikuwa mkali sana na wa kusisimua. Hongera sana Timu ya Simba mchezo mliouonyesha leo hakuna mfano. Mmecheza kwa uelewano mkubwa sana na kwa asilimia mliwazidi wapinzani wenu na hasa kipindi cha pili. Sifa kem kem ziwaendee Mohamed Hussein, Chama, Nyonzima, Kagere na wachezaji wengine wote. Kwa kweli mmetufurahisha. Msihofu japo tumekosa goli lililogonga mwamba na penati. Huo ndiyo mchezo. Tujipange kwa hatua ya marudiano.
 
Mtaani huu Nasikia Penalty ya Bocco sasa IPO Morpgoro inaelekea Bungeni
 
Hii inatoka moyoni au? Unatung'ong'a?
 
Mtanange wa leo kati ya Simba na TP mazembe ulikuwa mkali sana na wa kusisimua. Hongera sana Timu ya Simba mchezo mliouonyesha leo hakuna mfano. Mmecheza kwa uelewano mkubwa sana na kwa asilimia mliwazidi wapinzani wenu na hasa kipindi cha pili. Sifa kem kem ziwaendee Mohamed Hussein, Chama, Nyonzima, Kagere na wachezaji wengine wote. Kwa kweli mmetufurahisha. Msihofu japo tumekosa goli lililogonga mwamba na penati. Huo ndiyo mchezo. Tujipange kwa hatua ya marudiano.
mpira magoli mkuu.
 
Back
Top Bottom