Hongera Serikali kwa kusitisha usaili wa Walimu: Tunashauri utaratibu wa zamani utumike kwa kupangwa vituo na TAMISEMI

Hongera Serikali kwa kusitisha usaili wa Walimu: Tunashauri utaratibu wa zamani utumike kwa kupangwa vituo na TAMISEMI

mbingunikwetu

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
13,897
Reaction score
18,477
Ni mbumbumbu tu anayeweza kuamini kuwa usaili ndio wenye uwezo wa kutupatia walimu bora!! Usaili unasaidia tu kuondoa wengine na kubakiza wachache kulingana na nafasi zilizopo!! Utaratibu wa usaili haufai kabisa kwa taaluma ya ualimu na afya.

Utaratibu wa zamani wa TAMISEMI kuwapangia walimu na watumishi wa afya vituo vya kazi kwa utaratibu wa FOLENI huo ndio unaofaa!! Kila aliyehitimu anafaa!! kama hafai kutokufaa kwake hakuwezi kugundulika kwa usaili!!

Inabidi tuviamini vyuo vilivyowafundisha na kuwatunukia vyeti vya kuhitimu!! Daktari asomee taaluma yake kwa miaka 6 kisha bodi yake ikampima na kumpatia leseni, halafu anakuja mtu anadai anaweza kupima ubora wa daktari huyu kupitia usaili wa dakika chache tu kwa siku moja! (haya ni matusi).

Hali kadhalika kwa walimu!!
Ndiyo maana watu wengi wameipongeza serikali kwa sitisho hilo wakiamini kuwa utaratibu wa zamani utarudishwa!! Kuwafanyisha usaili walimu walio malaki ni uharibifu wa rasilimali fedha na muda!!
 
Upimaji mzuri wa mwalimu ni wa vitendo!! Kama usaili wa walimu ungefanyika kwa kuwapima darasani wakiwa wanafundisha, hapo ndipo ungeweza kutenganisha uwezo wa kufundisha baina ya walimu!! In practice hilo huwezi kulifanya!! Kwa hiyo utaratibu pekee ni wa TAMISEMI kuendelea kuwapangia walimu vituo kwa utaratibu wa foleni iliyo wazi!
 
Ni mbumbumbu tu anayeweza kuamini kuwa usaili ndio wenye uwezo wa kutupatia walimu bora!! Usaili unasaidia tu kuondoa wengine na kubakiza wachache kulingana na nafasi zilizopo!! Utaratibu wa usaili haufai kabisa kwa taaluma ya ualimu na afya.

Utaratibu wa zamani wa TAMISEMI kuwapangia walimu na watumishi wa afya vituo vya kazi kwa utaratibu wa FOLENI huo ndio unaofaa!! Kila aliyehitimu anafaa!! kama hafai kutokufaa kwake hakuwezi kugundulika kwa usaili!! Inabidi tuviamini vyuo vilivyowafundisha na kuwatunukia vyeti vya kuhitimu!! Daktari asomee taaluma yake kwa miaka 6 kisha bodi yake ikampima na kumpatia leseni, halafu anakuja mtu anadai anaweza kupima ubora wa daktari huyu kupitia usaili wa dakika chache tu kwa siku moja! (haya ni matusi). Hali kadhalika kwa walimu!!
Ndiyo maana watu wengi wameipongeza serikali kwa sitisho hilo wakiamini kuwa utaratibu wa zamani utarudishwa!! Kuwafanyisha usaili walimu walio malaki ni uharibifu wa rasilimali fedha na muda!!
Aliyeleta usaili kwa walimu ni mpumbavu na mbinafsi
 

Vyuo vinatosha kufanya usaili Serikali inajiongezea majukumu tu na kupoka autonomy ya taasisi za elimu ova.​

 
TAMISEMI wanawaza kulipana posho za usaili na siyo kuajiri watu mahiri.

Serikali haramu ya CCM Haina mikakati ya kupunguza tatizo la ukosefu wa ajira nchini.

Badala ya kuwapa kipaumbele wahitimu wa miaka ya nyuma katika soko la ajira wao wanakuja na interview uchwara ilimradi wapate perdiem.
 
TAMISEMI wanawaza kulipana posho za usaili na siyo kuajiri watu mahiri.

Serikali haramu ya CCM Haina mikakati ya kupunguza tatizo la ukosefu wa ajira nchini.

Badala ya kuwapa kipaumbele wahitimu wa miaka ya nyuma katika soko la ajira wao wanakuja na interview uchwara ilimradi wapate perdiem.
Hawafai kabisa Mbwa hawa Ma CCM
 
Walimu wana u-special gani boss??
Mbona kada zotee serikali wanafanya usaili??
Zamani ...
1. Maafisa Kilimo walikuwa wanapangiwa tu na sasa wanafanya usaili
2. Maafisa Uvivu walikuwa wanapangiwa tu na sasa hivi wanafanya usaili
3. Maafisa uvuvi walikuwa wanapangiwa tu sasa hivi wanafanya usaili
4. Maafisa wa Afya walikuwa wanapangiwa tu sasa hivi wanafanya usaili

WALIMU "WHY ARE THEY SO SPECIAL??""

#YNWA
#YANGA_BINGWA
 
Walimu wana u-special gani boss??
Mbona kada zotee serikali wanafanya usaili??
Zamani ...
1. Maafisa Kilimo walikuwa wanapangiwa tu na sasa wanafanya usaili
2. Maafisa Uvivu walikuwa wanapangiwa tu na sasa hivi wanafanya usaili
3. Maafisa uvuvi walikuwa wanapangiwa tu sasa hivi wanafanya usaili
4. Maafisa wa Afya walikuwa wanapangiwa tu sasa hivi wanafanya usaili

WALIMU "WHY ARE THEY SO SPECIAL??""

#YNWA
#YANGA_BINGWA

Wanasema kazi ya yao ni ya kujitolea na hawalipwi mshahara Ila wanalipwa Posho
 
Ni mbumbumbu tu anayeweza kuamini kuwa usaili ndio wenye uwezo wa kutupatia walimu bora!! Usaili unasaidia tu kuondoa wengine na kubakiza wachache kulingana na nafasi zilizopo!! Utaratibu wa usaili haufai kabisa kwa taaluma ya ualimu na afya.

Utaratibu wa zamani wa TAMISEMI kuwapangia walimu na watumishi wa afya vituo vya kazi kwa utaratibu wa FOLENI huo ndio unaofaa!! Kila aliyehitimu anafaa!! kama hafai kutokufaa kwake hakuwezi kugundulika kwa usaili!!

Inabidi tuviamini vyuo vilivyowafundisha na kuwatunukia vyeti vya kuhitimu!! Daktari asomee taaluma yake kwa miaka 6 kisha bodi yake ikampima na kumpatia leseni, halafu anakuja mtu anadai anaweza kupima ubora wa daktari huyu kupitia usaili wa dakika chache tu kwa siku moja! (haya ni matusi).

Hali kadhalika kwa walimu!!
Ndiyo maana watu wengi wameipongeza serikali kwa sitisho hilo wakiamini kuwa utaratibu wa zamani utarudishwa!! Kuwafanyisha usaili walimu walio malaki ni uharibifu wa rasilimali fedha na muda!!
Upuuzi yaani msisailiwe Kwa kuwa?

Nenda private school uone kama wanabeba Kila kilichoko kwenye kokolo.
 
Wabongo bana ndo mana tunashindwa na kuogopa kila aina ya ushindani na tunafeli kila kitu! Kama umeiva kwa nini unaogopa interview? Tushazoea spoon feeding na kudesa kila kitu hadi maisha. Mtoa mada kama hao waalimu wapo 10,000 na unataka 500 unafanyaje ili kutenda haki? Unawaajiri wote ukachuje darasani? Hebu saidia mawazo
 
Ni mbumbumbu tu anayeweza kuamini kuwa usaili ndio wenye uwezo wa kutupatia walimu bora!! Usaili unasaidia tu kuondoa wengine na kubakiza wachache kulingana na nafasi zilizopo!! Utaratibu wa usaili haufai kabisa kwa taaluma ya ualimu na afya.

Utaratibu wa zamani wa TAMISEMI kuwapangia walimu na watumishi wa afya vituo vya kazi kwa utaratibu wa FOLENI huo ndio unaofaa!! Kila aliyehitimu anafaa!! kama hafai kutokufaa kwake hakuwezi kugundulika kwa usaili!!

Inabidi tuviamini vyuo vilivyowafundisha na kuwatunukia vyeti vya kuhitimu!! Daktari asomee taaluma yake kwa miaka 6 kisha bodi yake ikampima na kumpatia leseni, halafu anakuja mtu anadai anaweza kupima ubora wa daktari huyu kupitia usaili wa dakika chache tu kwa siku moja! (haya ni matusi).

Hali kadhalika kwa walimu!!
Ndiyo maana watu wengi wameipongeza serikali kwa sitisho hilo wakiamini kuwa utaratibu wa zamani utarudishwa!! Kuwafanyisha usaili walimu walio malaki ni uharibifu wa rasilimali fedha na muda!!
Hii kitu binafsi sijapenda kwa jinsi ninavyopenda kushindana yani nishindane na kila mtu duniani hiyo ndio furaha yangu

Hapa tu kuna jamaa nashindana nae kibiashara mbona namba anaisoma waweke tu usaili tukashindane
 
Walimu wana u-special gani boss??
Mbona kada zotee serikali wanafanya usaili??
Zamani ...
1. Maafisa Kilimo walikuwa wanapangiwa tu na sasa wanafanya usaili
2. Maafisa Uvivu walikuwa wanapangiwa tu na sasa hivi wanafanya usaili
3. Maafisa uvuvi walikuwa wanapangiwa tu sasa hivi wanafanya usaili
4. Maafisa wa Afya walikuwa wanapangiwa tu sasa hivi wanafanya usaili

WALIMU "WHY ARE THEY SO SPECIAL??""

#YNWA
#YANGA_BINGWA
Bila shaka wewe ni UVCCM, Hawa watu wanamawazo madogo Sana
 
Back
Top Bottom