Hongera Serikali kwa kusitisha usaili wa Walimu: Tunashauri utaratibu wa zamani utumike kwa kupangwa vituo na TAMISEMI

Kwa mujibu wa maelezo ya waziri usaili huu unapunguza upendeleo na kupata walimu bora

Swala la upendeleo; bado unaweza kuwepo kwani majibu ya oral interview sio ya wazi na haraka kama ulivyo wa written ambao mara baada ya kumaliza interview majibu yanatoka na unaona upo selected kuendelea na usaili wa oral. Cha kushangaza baada ya usaili wa oral inachukua zaidi ya mwezi mzima watu kupata majibu ambayo tena ni kuitwa kazini huku wakisema baadhi yao walikuwa kwenye database na mtu baada ya usaili wa oral anakuwa hajui kama yupo kwenye database au lah. Kwa mfumo huu bado suala upendeleo linaweza kuwepo kwanini majibu ya oral pia yasitolewe mapema au kuna vitu wanakuwa wana balance?? Na ndio mana kuna fununu za watu kuambiwa wewe pita written tu kazi utapata

Suala la walimu bora; ualimu ni kama udereva umahili wa dereva unaweza kupimwa akipewa gari anayosema kajifunzia sidhani kama kumpima mwalimu pasipo kuingia darasani kumuona akifundisha kunaweza kumbaini mwalimu bora. Yaan ahojiwe kwa dakika kumi uweze kujua ubora wake ilhali alistahili kupimwa akiwa anafundisha mana ndio msingi mkuu wa kumtambua mwalimu bora hata mashule ya private hufanya hvyo katika mchakato wa kupata walimu bora.

My take; sipingi walimu kufanyiwa usaili lkn ningeshauri uwekwe utaratibu mzuri utakaoendana na idadi ya walimu wanaoomba kazi huku mianya ya upendeleo ikizibwa na utaratibu huo mfano baada ya written wabakizwe watu watatu kwa nafasi moja ya kazi idadi haitazidi 32000 then hao ngoma iende hadi darasani
 
Kama unaamini uko smart kichwani kwanini unaogopa usaili?
 
Hadi upime ubora kwani wanafunzi wanafeli au

Hapa sio kupima ubora ila ni mbinu ya kuwapurura na kuwapiga mapanga ili mmbaki wachache

Hapo mtakuwa hamna wa kumlaumu kwakuwa mmefeli wenyewe mtihani
 
Ma CCM hayatakuelewa. Ma CCM na viunga vyake ni Mbwa.

Mbwa nyie Ma CCM
 
Hoja yako haina miguu ya kusimamia. Mbona Kada zingine kama uhandisi, IT, sheria, kilimo , uhamiaji, polisi, JWTZ, usaili na michujo hufanyika.
 
Kuna dogo anaconnection kaambiwa yeye apite tu written kazi ipo uhakika.
Hongera.
Karibuni katika Utumishi wa Umma, Watanzania wana matarajio makubwa kutoka kwenu kwa utumishi wenu, tunatarajia mtafanya kazi kwa weledi, ari na nguvu mpya na kutanguliza mbele uzalendo.
 
Jata serikali ikiamua kuajiri wote 176054 bado nchi ingekuwa na uhaba wa walimu zaidi ya 150k na ukizingatia kila mwaka shule mpya za serikali zinafunguliwa
 
Dadadeki na unakuta Written hapiti๐Ÿ˜
Mi nnachokijua ukiwa na connection inabidi hata kama umefeli written(interview) inakubidi upite si una connection bhana.kama hiyo connection haiwezi kukupitisha ukiwa umefeli basi hamna connection apo. Maana watu wanatafuta connection ili wapite by any means
 
Kuna dogo anaconnection kaambiwa yeye apite tu written kazi ipo uhakika

Kuna dogo anaconnection kaambiwa yeye apite tu written kazi ipo uhakika.
kama ni wewe ndugu umeambiwa upite written basi huna connection hapo una beti kama wengine maana ya connection ni kwamba hata ufeli written wewe ni uhakika hata upate 0 kama una connection unapita sasa unakua na connection inakuambia ufaulu written hiyo sio connection ndugu umetapeliwa. Ogopa sana
 
halafu we jamaa ndo umeleta mikosi mpka tunaenda xmax walim waomb Ajira hawajui A wala B
 
Unaaibisha ualimu wako.

.......Jiandaene kukandwa hakuna kazi za burebure siku hizi.
 
Usaili upo pale pale, utumishi shikilieni hapo hapo ๐Ÿ”ฅ
 
Ww n mpumbavu. Na usaili utafanya tuu utake usitake.
 
Hoja yako haina miguu ya kusimamia. Mbona Kada zingine kama uhandisi, IT, sheria, kilimo , uhamiaji, polisi, JWTZ, usaili na michujo hufanyika.
Wee zile za majeshi usaili au kusanyiko na kukidhi tu vigezo vya mchakato wa ajira hili majina yaliyopitiswa na wakubwa yawe halali waseme wamechuja usaili umefanyika wamepatikana Hawa kusiwe na kuojiwa.
Weee napinga mbaka yesu anarudi majeshi ayajawai kuwa na usaili ni uhuni TU ule
 
๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
Yani usaili upo wakuu maana hamna tangazo la kusema tutachagua juu kwa juu watu waoga ndio wameleta sera hizo. Hapa inaonekana walim wataingia usaili na Hawa waalimu wa businesses walioanza kuaply hivi karibuni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ