Hongera Serikali ya mapinduzi ya Zanzibar - Mwandishi aliepigwa na askari afarijika

Hongera Serikali ya mapinduzi ya Zanzibar - Mwandishi aliepigwa na askari afarijika

Shocker

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2012
Posts
1,958
Reaction score
3,890
Hongera sana sana Serikali ya Dr. Husein Mwinyi kuonyesha njia ya utendaji haki, Haki sawa kwa wote ni baada ya polisi kumpiga na kumtesa vibaya sana mwandishi kutoka Tanzania mainland wa gazeti la wananchi anaefanyia shughuli zake Zanzibar.

Serikali kupitia Mawaziri wake wawili wa habari na vikosi vya ulinzi vimeazimia kutenda haki na kumchukulia au kuwachukulia hatua askari waliomtesa mwandishi huyo anaeitwa Jessie Jackson hadi kupoteza fahamu na vitendea kazi vyake ikiwemo simu ya iphone macho nane ya kisasa kabisa.

Kilichowasikitisha wananchi ni kwa askari hao kumuamurisha mwandishi agalegale kwenye maji machafu ya karo za mivi,kama mnavyoijua Zanzibar michirizi ya maji machau ndio kwao.
 
Some members wa vyombo vya usalama sijui wana matope kwenye vichwa vyao. Unaanzanje kufanya hivyo wakati huu, hawajui hata kusoma alama nyakati
 
Serikali kupitia Mawaziri wake wawili wa habari na vikosi vya ulinzi vimeazimia kutenda haki na kumchukulia au kuwachukulia hatua
Kuazimia siyo kutenda.
Ni kama ilivyo kuchumbia, siyo kuoa.

Unapongeza maazimio??
 
Kura zipi tena unaziongelea hapa imhotep lakini!??

Acha kazi iendelee
Husseni Mwinyi asingeweza kumshinda Hayati Maalim Seif bila ya Wizi na Ubabe na chini ya utawala wa Maalim hakuna Mwandishi ambaye angeguswa wacha kupigwa na kugalagazwa kwenye dimbwi la maji machafu
 
Husseni Mwinyi asingeweza kumshinda Hayati Maalim Seif bila ya Wizi na Ubabe na chini ya utawala wa Maalim hakuna Mwandishi ambaye angeguswa wacha kupigwa na kugalagazwa kwenye dimbwi la maji machafu

Alale salama Maalim Seif Sharif Hamad
Mungu ibariki Tanzania
 
Ndio muingize watu kwa wizi wa kura? uimara gaini huo
Rais Mwinyi atapata tabu sana kwenye uongozi wake, wawakilishi wote vichwa mchunga na analazimika kutoa waziri kupitia hao vichwa mchungwa.

Kuna mkuu wa wilaya au sijui mkuu wa mkoa, alikosa kazi ya kufanya akaishia kuingia mitaani kukata watoto nywele 😀
 
Hongera sana sana Serikali ya Dr,Husein Mwinyi kuonyesha njia ya utendaji haki---Haki sawa kwa wote,ni baada ya polisi kumpiga na kumtesa vibaya sana mwandishi kutoka Tanzania mainland wa gazeti la wananchi anaefanyia shughuli zake Zanzibar.
Serikali kupitia Mawaziri wake wawili wa habari na vikosi vya ulinzi vimeazimia kutenda haki na kumchukulia au kuwachukulia hatua askari waliomtesa mwandishi huyo anaeitwa Jessie Jackson hadi kupoteza fahamu na vitendea kazi vyake ikiwemo simu ya iphone macho nane ya kisasa kabisa. Kilichowasikitisha wananchi ni kwa askari hao kumuamurisha mwandishi agalegale kwenye maji machafu ya karo za mivi,kama mnavyoijua Zanzibar michirizi ya maji machau ndio kwao..
Kuwa specific yakhee.

Haki imetendekaje?
 
Rais Mwinyi atapata tabu sana kwenye uongozi wake, wawakilishi wote vichwa mchunga na analazimika kutoa waziri kupitia hao vichwa mchungwa.

Kuna mkuu wa wilaya au sijui mkuu wa mkoa, alikosa kazi ya kufanya akaishia kuingia mitaani kukata watoto nywele 😀
Hahahhahaaa hii kali...mie alinifurahisha yule mzanzibar alosema ukimuangalia mwanamke kwa kumtamani ni kosa...nilicheka...ingawa inasajdia
 
Back
Top Bottom