Kwanza niwaze hongera sana Simba kwa kufikia hatua ya pili ya mitano, baada ya kuwatoa Nigeria, sasa mnaenda kukutana na timu ngumu, msibweteke.
Naomba mkajitahidi angalau muwafunge kwao hao platinum ua Zimbabwe. Naamini itakua na mtashinda. Nasi Watz Tunawaombea mfike mbali zaidi na muwe mabalozi wa Nchi.