Hongera Sintah kwa ku 'graduate'

warumi

R I P
Joined
May 6, 2013
Posts
16,218
Reaction score
18,440
Msanii mkongwe wa maigizo nchini, Christina Manongi maarufu kama Sintah, amewashtua baadhi ya mashabiki wake baada ya hivi karibuni kuibuka baada ya ukimya wa muda mrefu, ambapo imejulikana mrembo huyo aliyewahi kuwa mpenzi wa Juma Nature alikuwa busy akipiga kitabu ambapo sasa hivi amegraduate postgraduate ya diplomasia.

Hata hivyo baadhi ya mashabiki zake wamempongeza Sintah kwa uamuzi wake huo wa kurudi shule tofauti na wakongwe wenzie ambao miaka nenda rudi wapo vile vile.

 
Last edited by a moderator:
Hongera sana sinta .
 
Kuna mtu alisema humu k ana Masters (MBA)! Sasa hiyo PGD yanini tena?
Halafu ni chuo gani?
 
sidhani kama vina ugomvi, labda ana masters ya kitu kingine
Mkuu huyo unayemjibu ndio vichwa vinavyoitwa vyenye akili kubwa pale Lumumba. Sasa kama anasema hivyo utakuwa umepata majibu uwezo wake ukoje na wa hao wanaomuona genius
 
Hofu yangu ni moja atakapofunga hivyo vyuo je wale wanafunzi waliopoteza muda wao Fedha zao serikali inawafikiria nini?
 
Mkuu huyo unayemjibu ndio vichwa vinavyoitwa vyenye akili kubwa pale Lumumba. Sasa kama anasema hivyo utakuwa umepata majibu uwezo wake ukoje na wa hao wanaomuona genius
Hahahhahaaaa hii kali sana Mpwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…