Governor of Bettors-GB
JF-Expert Member
- Jul 14, 2013
- 10,568
- 9,710
Nachukua nafasi hii kumpongeza Suleiman Nyambui kwa kuchaguliwa kuwa Kocha wa Team ya Riadha ya Taifa ya Brunei.
Nimefuatilia Maelezo yako AZAM Tv na nitafuatilia Jpili hii utapokuwa Live na Charles Hillary kama mlivyoahidi AZAM tv ili kujua undani zaidi.Ila msituzingue kama hao mnaowaalika kwenye Siasa wanakimbia.Tuleteeni Nyambui bila kubadili ratiba.Maana nasikia Nyambui wiki ijayo anakwe pipa
Kweli Taifa letu limelala,yaani hadi nchi ya Nje ndio inaona thamani ya Kocha wa ndani.
Nimechovutiwa zaidi
-Uliombwa kwa Mkataba wa Miaka miwili,ukagoma,na kusema kwamba wakupe miezi sita ili uangalie kama Nchi yenyewe inataratibu na plan nzuri na utashi wa kuendeleza Riadha.
Hii ilinivutia saaana,maana hukufanya tamaaa,na ninajua umejifunza hapa Tanzania.Maana Tanzania tunapenda sana michezo na ahadi za mezani,ila dhamira zetu mioyoni kama Taifa ni ZEROOO,tena nasisitiza ZEROOOOO.Hasa kwenye Riadha ndio kabisaaa.
Na hata hivyo nakupongeza sana kwa uvumilivu wako hapa Tanzania,umetoa mchango mkubwa sana na sie kama wadau wa Riadha tumeona Juhudi zako kwa miaka Mingi saaana.Na lazime niwe mkweli,una moyo wa chuma aisee.Maana kama mie nisingeweza,ningeachia njiani.Umesimamia mchezo huo bila malengo yako kutimia kwa kukosa ruzuku Serikalini na wadhamini wa uhakika.Na pia umegundua kabisa kwamba Serikali haina mkazo kwenye riadha.
Umekuwa Ukishauri Serikali na wadau mara kadhaa juu ya ju invest kwenye huu mchezo bila mafanikio,na wala huku kata tamaa mpaka leo.
-Sie wadau tunakutakia kila la Kheri huko uendako,mungu akusimamie na ufanikiwe.
Angalizo:-
Nakuomba ukiitwa Tena Tanzania usije,sie Watanzania tuna tabai ya kudharau cha kwetu.Na pindi mtu akipata mafanikio nje ya basi tunajifanya ndio kuweka mipango telee,na mtu akija hakuna lolote.
Aliletwa Kocha M Cuba kwenye ngumi,leo ngumi zipo wapi ,hovyoo tu.
Kuna Mchezaji kama sikosei yupo Chelsea B,alipitia kwa msaada wa Chama cha soka Kenya ndio alifanikiwa kuombewa majaribo wakati huo TFF walikataa kumpa na kumkebehi saaana kwamba wewe hata Ligi kuu haumo utaitwaje Ulaya.
Nakushauri jitahi sana ufanye vizuri.Na pia tafuta hata Private runner akuajiri ili umsimamie.
Lakini hapa kwetu Tanzania usifundishe tena,utajiharibia CV yako bureee.Serikali haina mpango wowote wa kuinua na kuendeleza Riadha.Wanasubiria ufe tu ndio ujue jinsi watu wanavyosifia umahiri wako na mipango yako ya Siasa.
Mfano wa Hotuba:(Samahani kama Nyambui utakwazika,ial ni unchungu wa jinsi nchi haijali huu mchezo)
Waziri wa Michezo akisoma wasifu wa Marehem
Ndugu Marehem Nyambui alituletea sifa kubwa saana kwenye Mchezo wa riadha kwa kutuletea medali mbili kubwa.
Marehem alikuwa mpenda watu saana,na alieamua kuhama Marekani na kuja kuendeleza Riadha hapa kwetu.Na mara ya mwisho kukutana alikuwa ameleta wizarani progam yake mpya ya michezo mashuleni.Na hii kwa serikali kuthamini mchango wake tumeishaianza muda mrefu uliopita(uongo),na ndio maana tumeanza kwenye umiseta(uongo square).
Na tunaahidi kwamba juhudi zake na mipango yake ya kuendeleza riadha itaendelezwa.
Mungu ailaze roho ya marehem mahala pema peponi,huku kimoyoyo akimalizia kwa kusema na Mungu aulaze Mchezo wa Riadha kuzimu
NYAMBUI TUNAKUOMBEA KWA HESHIMA UMEOPEWA NCHI YA BRUNEI
===================
===================
Nimefuatilia Maelezo yako AZAM Tv na nitafuatilia Jpili hii utapokuwa Live na Charles Hillary kama mlivyoahidi AZAM tv ili kujua undani zaidi.Ila msituzingue kama hao mnaowaalika kwenye Siasa wanakimbia.Tuleteeni Nyambui bila kubadili ratiba.Maana nasikia Nyambui wiki ijayo anakwe pipa
Kweli Taifa letu limelala,yaani hadi nchi ya Nje ndio inaona thamani ya Kocha wa ndani.
Nimechovutiwa zaidi
-Uliombwa kwa Mkataba wa Miaka miwili,ukagoma,na kusema kwamba wakupe miezi sita ili uangalie kama Nchi yenyewe inataratibu na plan nzuri na utashi wa kuendeleza Riadha.
Hii ilinivutia saaana,maana hukufanya tamaaa,na ninajua umejifunza hapa Tanzania.Maana Tanzania tunapenda sana michezo na ahadi za mezani,ila dhamira zetu mioyoni kama Taifa ni ZEROOO,tena nasisitiza ZEROOOOO.Hasa kwenye Riadha ndio kabisaaa.
Na hata hivyo nakupongeza sana kwa uvumilivu wako hapa Tanzania,umetoa mchango mkubwa sana na sie kama wadau wa Riadha tumeona Juhudi zako kwa miaka Mingi saaana.Na lazime niwe mkweli,una moyo wa chuma aisee.Maana kama mie nisingeweza,ningeachia njiani.Umesimamia mchezo huo bila malengo yako kutimia kwa kukosa ruzuku Serikalini na wadhamini wa uhakika.Na pia umegundua kabisa kwamba Serikali haina mkazo kwenye riadha.
Umekuwa Ukishauri Serikali na wadau mara kadhaa juu ya ju invest kwenye huu mchezo bila mafanikio,na wala huku kata tamaa mpaka leo.
-Sie wadau tunakutakia kila la Kheri huko uendako,mungu akusimamie na ufanikiwe.
Angalizo:-
Nakuomba ukiitwa Tena Tanzania usije,sie Watanzania tuna tabai ya kudharau cha kwetu.Na pindi mtu akipata mafanikio nje ya basi tunajifanya ndio kuweka mipango telee,na mtu akija hakuna lolote.
Aliletwa Kocha M Cuba kwenye ngumi,leo ngumi zipo wapi ,hovyoo tu.
Kuna Mchezaji kama sikosei yupo Chelsea B,alipitia kwa msaada wa Chama cha soka Kenya ndio alifanikiwa kuombewa majaribo wakati huo TFF walikataa kumpa na kumkebehi saaana kwamba wewe hata Ligi kuu haumo utaitwaje Ulaya.
Nakushauri jitahi sana ufanye vizuri.Na pia tafuta hata Private runner akuajiri ili umsimamie.
Lakini hapa kwetu Tanzania usifundishe tena,utajiharibia CV yako bureee.Serikali haina mpango wowote wa kuinua na kuendeleza Riadha.Wanasubiria ufe tu ndio ujue jinsi watu wanavyosifia umahiri wako na mipango yako ya Siasa.
Mfano wa Hotuba:(Samahani kama Nyambui utakwazika,ial ni unchungu wa jinsi nchi haijali huu mchezo)
Waziri wa Michezo akisoma wasifu wa Marehem
Ndugu Marehem Nyambui alituletea sifa kubwa saana kwenye Mchezo wa riadha kwa kutuletea medali mbili kubwa.
Marehem alikuwa mpenda watu saana,na alieamua kuhama Marekani na kuja kuendeleza Riadha hapa kwetu.Na mara ya mwisho kukutana alikuwa ameleta wizarani progam yake mpya ya michezo mashuleni.Na hii kwa serikali kuthamini mchango wake tumeishaianza muda mrefu uliopita(uongo),na ndio maana tumeanza kwenye umiseta(uongo square).
Na tunaahidi kwamba juhudi zake na mipango yake ya kuendeleza riadha itaendelezwa.
Mungu ailaze roho ya marehem mahala pema peponi,huku kimoyoyo akimalizia kwa kusema na Mungu aulaze Mchezo wa Riadha kuzimu
NYAMBUI TUNAKUOMBEA KWA HESHIMA UMEOPEWA NCHI YA BRUNEI
===================
===================
Mshindi wa zamani wa medali ya fedha ya michuano ya Olimpiki, Suleiman Nyambui amepata kazi ya kuwa kocha mkuu wa Brunei.
Nyambui, aliyeshinda medali ya Olimpiki mwaka 1980 wakati wa michuano ya Olimpiki ya majira ya joto nchini Moscow,amesema kuwa amepewa mkataba wa kuifundisha timu ya taifa ya nchi hiyo kwa miaka miwili, ila atafanya kazi kwa miezi sita kuangalia mazingira.
"Wameniomba kuwa kocha kwa miaka miwili, nami nimewaomba, kwa kuanzania, kufundisha kwa miezi sita ili nione mazingira, baada ya hapo huenda nikabaki", alisema Nyambui.
Nyambui, ambaye amesema atajiuzulu nafasi yake ya ukatibu mkuu wa chama cha Riadha Tanzania (AT), aliwahi katika miaka ya nyuma kuwa kocha nchini Marekani, visiwa vya Bahrain na alipata kufundisha nchini Australia mara kadhaa kwa mikataba ya muda mfupi mfupi.
Nyambui amesema anategemewa kuondoka Dar es Salaam kuelekea Brunei kuanza majukumu mapya.
Chanzo: http://www.bbc.com/swahili/michezo/2015/06/150621_nyambui_coach_brunei