Hongera Tanzania πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Hawa jamaa tunawaonea sana siku hizi...kila mahali, hata mademu zao tunajipigia. Cheki daimondi, kiba, ben pol, kingwendu, muhogo mchungu etc
Machali wa bongo ni wavivu sana kitandani.Hamna demu yeyote wa kikenya ataacha shughuli zake ili awe selina kuchezeana nywele
 
Nitumie picha yako Bi Jane PM. Je, upo na msambwanda au ni flat screen!?
Tangu wamodereti JF sijaweza kupost pics. Kuna siku niliposti picha yangu moja kimakosa kwa ile thread ya matusi {Dar vs NAI battle} Ilibidi nitoke huko hata kuchungulia huwa sichungulii
 
Hawa jamaa tunawaonea sana siku hizi...kila mahali, hata mademu zao tunajipigia. Cheki daimondi, kiba, ben pol, kingwendu, muhogo mchungu etc
Asa wakenya nguvu za kiume hamna hukupata ile habari kusini mwa kenya wanawake wanaandamana hawapigwi tee-marbutwa na wame zao wanataka wasaidiwe??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…