Ni fire ! ni mwendo wa kujimwagilia tu,k vant,john walker,konyangi kuku choma yaani ushindwe mwenyewe ,mtuwekee na warembo muongeze na spika kubwa ! mambo mengine kama uchakavu wa mabehewa na viti, uchafu hayo sisi hayatuhusu kikubwa tumefika dar tuko full data!