Hongera TRL kwa Mabehewa Mapya. SGR ni Reli Mpya ya Kisasa; Je, Mabehewa Haya ni Mapya ya Kisasa? Hakuna Ubaya Kutumia Mitumba, Ila Tuambiwe Ukweli!

Wanataka kutakatisha ile taka ngumu kwenye hizi post ili tuone kuwa alikuwa mtu wa maana.
Ingekuwa chaguzi lao, kama si chini ya uongozi wa mmoja wao, kwao bora nchi ipate msoto ili wapate nafasi ya kutuzodoa kwamba walituambia hakuna kama yeye.
 
hapa si swala la Msukuma issu ni kwamba tunataka ufanye hivi hutaki tutakuondoa na utaondoka kabisa
hivyo beba hili kisha uwe tayari kwa kashfa itakayotokea na tunaweza kukuondoa kwa masalahi ya umma na kumpa mwingine lakini tutakulipa mishahara yako yote uliyokuwa unastahili kulipwa ukiwa kazini na hakuna utakachopoteza
vinginevyo tunaweza kwenda hatua ngumu zaidi juu yako nafikiri unaelewa. hivyo inabidi akubali kutokubaliana na awe mpiga zumali mzuri.
kifupi AFRIKA BADO TUNASAFARI NDEFU SANA NA HUWENDA HATUTAFIKA
 
Kinachokimbiza mabehewa ni kichwa cha train train mabehewa hata yawe used vipi yatakimbizwa kilomita 160 kwa saa

Mabehewa sio issue kubwa yaweza kuwa refabriated ambayo used hata ndani ya nchi yakinunuliwa toka ulaya au nchi zimeendelea ukayaweka vinjonjo vyote

Nakubaliana na serikali kununua mabehewa used yaweza fanyiwa renovation nzuri tu kwa gharama ndogo isiyolingana na kununua behewa jipya la abiria

Behewa ni kama tela tu hata nchini watu hununua tu vichwa vya magari makubwa yawe nabasi au malori na mabodi yanajemgwa hapa hapa nchini

Behewa ni sawa tu na kufunga mkokoteni nyuma ya gari na kuuvuta

Hauna contribution kwenye spidi
 
Reli ya SGR ni bomba kila mtu anaona ni nzuri mno, ila mashaka ni kwa kichwa na mabehewa zake. Yaliyoletwa hayafui dafu.tutadharaulika hadi kwa majirani zetu. Hayana viwango vya kisasa, tuseme tu ukweli.
 
Hizi fake kabisa mtapanda wenyewe siwezi mm
 
Kama ni hivyo, kwanini hayo used yasingenunuliwa yakaletwa kukarabatiwa na VETA au SIDO?
 

p,

Mbona hata Raisi alishesema mabehewa ya majaribio yatakuwa ya mtumba. Wakati mwingine ni watu kupenda drama au kutokuwa wafuatiliaji
 
Umesoma vizuri kinachojadiliwa hapa?
Wewe ndio unasema used mabehewa yapelekwe VETA kukarabatiwa ndio maana nakuuliza ukinunua gari used Ulaya au MAREKANI au japani nk huwa unapeleka hilo gari VETA kukarabatiwa au unatumia moja kwa moja?

Gari ina injini ,giabox.nk behewa halina sasa kama used car yenye injini,gia box nk hupeleki VETA kwa ukarabati sembuse behewa used lisilo na injini au gia box
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…