Dah hongera sana dada zetu,
Hawa wafadhiri waiiangalie hii timu kwa macho yote wamekazana kumwaga pesa kwenye timu ya Maskio Max lakini hatuoni kitu si bora ya hawa ambao wanachangia pesa kiduchu lakini kandanda wanasakata kiukweli wadau waangalie hii timu.