Victor Mlaki
JF-Expert Member
- May 1, 2016
- 4,151
- 4,277
Nchi ya Uganda imefikia hatua nzuri sana inayostahili pongezi kwa kuweza kutengeneza simu na kuziingiza sokoni.
Uzalishaji unaonekana kuwa simu 2000 za kawaida, smartphone 1500 na kompyuta mpakato 800.
Watanzania tujifunze hapo napo
Uzalishaji unaonekana kuwa simu 2000 za kawaida, smartphone 1500 na kompyuta mpakato 800.
Watanzania tujifunze hapo napo