Hongera Uganda kwa kufanikiwa kutengeneza simu na pia kompyuta mpakato nitaagiza ya kwangu nione fahari

Hongera Uganda kwa kufanikiwa kutengeneza simu na pia kompyuta mpakato nitaagiza ya kwangu nione fahari

Victor Mlaki

JF-Expert Member
Joined
May 1, 2016
Posts
4,151
Reaction score
4,277
Nchi ya Uganda imefikia hatua nzuri sana inayostahili pongezi kwa kuweza kutengeneza simu na kuziingiza sokoni.
Uzalishaji unaonekana kuwa simu 2000 za kawaida, smartphone 1500 na kompyuta mpakato 800.

Watanzania tujifunze hapo napo
 
Nchi ya Uganda imefikia hatua nzuri sana n inayostahili pongezi kwa kuwaza kutengeneza simu na kuziingiza sokoni.
Uzalishaji unaonekana kuwa simu 2000 za kawaida ,smartphone 1500 na kompyuta mpakato 800.

Watanzania tujifunze hapo napo
Tuache kwanza tuna majonzi ndege yetu sie aaakh jamani Wa Canada nyie
 
Nchi ya Uganda imefikia hatua nzuri sana inayostahili pongezi kwa kuweza kutengeneza simu na kuziingiza sokoni.
Uzalishaji unaonekana kuwa simu 2000 za kawaida, smartphone 1500 na kompyuta mpakato 800.

Watanzania tujifunze hapo napo
Juzi nilifurahishwa sana na hii taarifa japo sijailewa kwa undani, huku kwetu sijui itakuwa lini
 
Back
Top Bottom