Hongera uhamiaji Kenya na Tanzania kwa OSBP

Tuache kutia vifaranga viberiti na kukamata ng'ombe na kuwapiga minada, nina uhakika kuna jinsi ya kurekebisha wakati kuna matatizo yoyote, sio kuchukua hatua za chuki na mihemko.
Hata mkituletea magonjwa ili kuua soko letu tuwaangalie tu?
Tuacheni tuendeshe nchi kwa kufuata sheria zetu,haiwezekani Ng'ombe wa mkenya malisho Tanzania halafu anarudishwa kenya kutengeneza pesa,mlizoea kutuona mafala na kufanya shamba la bibi,tumestuka
 

Naona mnavyotaja taja sheria kwa bidii, hivi hao vifaranga walipatakana na homa ipi baada ya kupimwa hadi mkaamua kuwatia kiberti wakiwa hai, wote 6,000 kwa mpigo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…