Kama ambavyo mtazamo wako unaheshimiwa ndivyo ambavyo unapaswa kuheshimu mitazamo ya wengine, kejeli hazijengi!!lkn hayo ni mambo Kike, ni Wanawake ndiyo huliganisha Wanaume zao na wengine ili kuwatia wivu!
Kwa hiyo ulitegemea Wanaume wako tuone wivu kwa kumsifia Mwanaume mwingine?
Kwa hiyo unamtaka raisi wetu aone wivu? Acha tabia kulinganisha na kuchonganisha Wanaume!
Si mgeni ila sipendi anisalimu na groveUtakuwa mgeni sana wa wazungu
kabisaaaa..nimepitia pitia uzi na comments mwanzo mpaka mwisho hakuna yeyote aliyemtaja...yaani swala la kumpongeza uhuru tu mtu anaingiza mambo mengi..sijui maneno ya kike duh!Umeonaeeeeeeeeè?
Hilo ndiyo tatizo tulilo nalo hapa bongo hasa kwa vijana wa lumumba ambao kwao kila sifa wanataka iende kwao hivyo ukimsifia mtu tofauti na mapenzi yao wanakuona siyo mzalendokabisaaaa..nimepitia pitia uzi na comments mwanzo mpaka mwisho hakuna yeyote aliyemtaja...yaani swala la kumpongeza uhuru tu mtu anaingiza mambo mengi..sijui maneno ya kike duh!
Shida gani? Wenye kufata ulevi wa papuchi wafate tu. Kwa mmea hivo hivo. Kileo pia. Wewe unayashangaa maisha ya mwanaume mwenzako? Wewe ni mke mwenza wa mamarosa nini?