Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
Kwa hakika mmeupokea na kuitikia vema wito na wa Rais na Mwenyekiti wa CCM taifa Dr Samia Suluhu Hassan wa kujitokeza kwa wingi, katika zoezi la kujiandikisha kwajili ya uchaguzi wa serika za mitaa katika siku hizi za mwanzo kabisa.
Ama kwa hakika,
biashara ni asubuhi.
Shime waTanzania wote wenye sifa na vigezo vya kupiga kura, tukajianzikishe kwa wingi, ili tupate fursa na haki ya kuchagua viongozi watakao tuongoza, hususani kwenye mazingira tunamo ishi tar 27 Nov. 2024🐒
Mungu Ibariki CCM
Mungu Ibariki Tanzania
Ama kwa hakika,
biashara ni asubuhi.
Shime waTanzania wote wenye sifa na vigezo vya kupiga kura, tukajianzikishe kwa wingi, ili tupate fursa na haki ya kuchagua viongozi watakao tuongoza, hususani kwenye mazingira tunamo ishi tar 27 Nov. 2024🐒
Mungu Ibariki CCM
Mungu Ibariki Tanzania