Tachu hano
JF-Expert Member
- May 30, 2016
- 1,506
- 2,518
- Thread starter
-
- #201
[QUOTE TE="BIGstallion, post: 22373135, member: 387074"]Uyo kweny shamba LA mbuzi nani nimemkubariiiii aje pm fastaa
[emoji123] [emoji123] [emoji123] [emoji123] [emoji123] [emoji123] [emoji109] [emoji109] [emoji109] [emoji109] [emoji109] [emoji109] [emoji109]Bwahahahahaha uoni kuna MTU anachunga mbuzi pale,..nimempenda anafaa kwa matumizi ya binadamu
Hahahaaa, hapana ndugu, ila najua changamoto hazitakodekana. Ni tofauti na mategemeo yako, picha za kwenye avatar zinaweza zisisadifu uhalisia[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Mbona kama unamtisha![emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Hahaha mkuu wewe ni fisiPia nikuombe, ukikutana na mzuri, usisahau kunishirikisha, hahahaaa
DuhAnajitekenya mwenyewe na kucheka mwenyewe yaani jf kuna mambo
Ujuaji ukizidi unakuwa ushamba mkuu hilo tambua piaKwahiyo kumbe hata Michelle Obama tunae humu? Bangi / Bange uliyovuta leo una uhakika ilitoka mahala sahihi ulipoiagiza Mkuu?
Ujuaji ukizidi unakuwa ushamba mkuu hilo tambua pia
Hata hao wengne ni fake sasa kisa umemjua mmja ndiyo inakuwa shida
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndiyo nina uhakikaBado nauliza je hiyo Bange / Bangi uliyoigiza leo una uhakika ilitoka hasa kule ambako uliiagizia?
Dada agiza kinywaji ukipendacho bill ije kwanguSisi ni wanaumeee? Kumradhi mkuu na ashakum si matusi.
Hivyo hao wanaosema hivyo nao ni wanawake? [emoji15] [emoji15]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
Kumbe kuandika kote huko unajua ni mie
Si uniulize me mwenyewe muhusika ye atajuaje zaidi ya kukumbana na avatar fakeWewe nipe wasfu wa Shunie humu maana huyu roho yangu umzimikia sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli mkuu me dume la mbegu haswa
Shemeji shikamooShunie,emmyta,ukhuty,inna
Apart from jf wanachukua
90% ya avatar zao nje ya jf
Kimwonekano,tabia,n.k
[Color= yellow]Triple A[/color]
Ohooo mishe imebuma na wewe dume tena la mbegu kabisa duhNi kweli mkuu me dume la mbegu haswa