Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Jambo jema kabisa hili.....wabarikiwe wote wenye upeo huu wa hali ya juu kabisa, kwa mustakali wa maisha yetu....Sasa ni dhahiri wananchi wa Tanzania wamekomaa kimawazo na kiakili , nimepita maeneo kadhaa ya jiji la Dar es Salaam , liliwemo eneo korofi la Kariakoo nimeshuhudia hatua kadhaa za kujilinda na maambukizi zikichukuliwa na wananchi wenyewe huku wakihamasishana kujifanyia usafi wa mikono kwa maji tiririka , almost 70% wamevaa barakoa , japo barakoa zingine hazina ule ubora unaostahili
Ni upumbavu kuhangaika na vijimafua vya msimu visivyoweza kuua hata kifaranga cha kuku.
Afya yako wajibu wako,
Ukisikiliza pumba kutoka chato,
Utakufa kabla ya siku zakol
Yeye kaenda kujificha chato akawaacha ninyi nyumbu muendelee kuteketeaWatu wamempuuza Jiwe na ubishi wake
Anae sema hakuna CORONA yupo chato kajificha akiwa chini ya uangalizi mzito wa madaktari.Sasa ni dhahiri wananchi wa Tanzania wamekomaa kimawazo na kiakili , nimepita maeneo kadhaa ya jiji la Dar es Salaam , liliwemo eneo korofi la Kariakoo nimeshuhudia hatua kadhaa za kujilinda na maambukizi zikichukuliwa na wananchi wenyewe huku wakihamasishana kujifanyia usafi wa mikono kwa maji tiririka , almost 70% wamevaa barakoa , japo barakoa zingine hazina ule ubora unaostahili .
Nachukua nafasi hii kuwapongeza wananchi kwa kustuka na kuamua wenyewe kujiepusha na matatizo , namuomba Mungu aweke mkono wake wa ulinzi juu ya vichwa vyao .
Hapa chini naambatanisha mchoro unaoelekeza namna nzuri ya kunawa mikono .
View attachment 1687258
mkuu huu uzi ni wa kitaifa si wa ChademaChadema mnakaribia kuwa Waganga wa Kienyeji!
Your brain has stoped to work may be try to use your ass to thinkNi upumbavu kuhangaika na vijimafua vya msimu visivyoweza kuua hata kifaranga cha kuku.
Wewe ni mwendawazimu wa kwanzaNi upumbavu kuhangaika na vijimafua vya msimu visivyoweza kuua hata kifaranga cha kuku.
Huyu dada, anatafuta ndoamkuu huu uzi ni wa kitaifa si wa Chadema
Msiba soon utatokea kwenye familia yenu ndio utajua kama hayo mafua yapoje soonNi upumbavu kuhangaika na vijimafua vya msimu visivyoweza kuua hata kifaranga cha kuku.
Mungu awanusuruMsiba soon utatokea kwenye familia yenu ndio utajua kama hayo mafua yapoje soon
Asilimia 70 gani hiyo ya waliovaa barakoa hapa kariakoo?Sasa ni dhahiri wananchi wa Tanzania wamekomaa kimawazo na kiakili , nimepita maeneo kadhaa ya jiji la Dar es Salaam , liliwemo eneo korofi la Kariakoo nimeshuhudia hatua kadhaa za kujilinda na maambukizi zikichukuliwa na wananchi wenyewe huku wakihamasishana kujifanyia usafi wa mikono kwa maji tiririka , almost 70% wamevaa barakoa , japo barakoa zingine hazina ule ubora unaostahili .
Nachukua nafasi hii kuwapongeza wananchi kwa kustuka na kuamua wenyewe kujiepusha na matatizo , namuomba Mungu aweke mkono wake wa ulinzi juu ya vichwa vyao .
Hapa chini naambatanisha mchoro unaoelekeza namna nzuri ya kunawa mikono .
View attachment 1687258
Vina hivi mkuu, lazima utakuwa muimbaji weweAfya yako wajibu wako,
Ukisikiliza pumba kutoka chato,
Utakufa kabla ya siku zako.