ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,170
- 7,665
Usiku wa jana Tuzo za MTV mama Zilitolewa huko South Africa! Wanigeria waliibuka vinara baada ya kuchukua tuzo nyingi kuliko nchi yoyote Afrika! Na zile tuzo kubwa zote zilienda Nigeri kama Best Male na Best Female pamoja na Artist of the Year!
Hongera wizkid pamoja na Yemi Alade kwa kuchukua Tuzo hizo! Fact ni kuwa sasa Wabongo hatuhitaji kumtafuta mchawi ni nani katika tuzo hizi ila inatakiwa tujifunze na Tufanye mambo makubwa sana mwaka Ujayo!
Ni kawaidaa yetu wabongo kutokubali ukweli ila kiuharisia hizi tuzo watanzania hata tungekuwa wengi kiasi gani walioshiriki hizi tuzo walikuwa katika vipengele vigumu sanaaa tofauti na uwezo wao! Angalia Rayvanny hana mafanikio makubwaa ingekuwa vigumu kushinda mbele ya Tekno aliekuwa vizuri sana Mwaka huu hata wabongo tungekuwa wengi kiasi gani na kwa umoja gani hiyo tuzo ingekuwa vigumu sana kutokana alie shiriki kutokuwa na Mafanikio!
Vipengele ambavyo mimi nilikuwa navitazama ni best male,artist of the year,na best Female! Ila vingine vyote wabongo tuliwekwa ili kunogesha Mashindano...Na vingine tulibebwa na watu hatukustahili kuwepo huo ndo ukweli!
Hizi tuzo mshindi anapatikana kwa njia ya kupigiwa kura ila sidhani kama Kura ndo zinasema mshindi ni nani waandaji wanatakiwa kutwambia kilicho nje ya kura! Kinachonifanya niseme hivi ni hivi Hawa walio kuwa wanawania kipengele cha Best Male in Africa ndio wale wale Walio wania Best MALE IN AFRIKA katika tuzo za BET na wapiga kula ni wale wale na Team zetu ni zile zile na population ni ile ile Iweje mtu anapata tuzo BET halafu anakosa MTV Mama kama kigezo ni kura?
Iweje mtu anakosa tuzo BET anapata MTVMama akati wapiga kura ni wale wale na hamna kipya kilichofanyika? Waandaji wanapaswa kutuambia kilicho nyuma ya Tuzo hizi! Ila kwa kigezo cha Kura huo ni uongo!
Diamond kurudi tena kushiriki hizi tuzo ni jambo kubwa na kumbuka DAVIDO Hajarudi wala Psquare lakini kiuharisia mwaka huu diamond hakufanya vizuri yeye kama yeye maana Katoa wimbo Mmoja katika mwaka kabla ya tuzo ila kashirikishwa sanaaa! Huku wizkid akiwa na Ojuolegba na Final! Kiuharisia Diamond hakuwa na nafasi kubwa ya kushinda mbele ya Wizkid Tukumbuke Skeleu ilimpa tuzo Davido!
Kwa upande wangu nasema Hongera Wizkid ulistahili hii tuzo Ila kura sio kigezo wabongo hata tungelala tunavote! Angalia na mfumo ulio tumika kuvote!! Kikubwa tuongeze juhudi
Hongera wizkid pamoja na Yemi Alade kwa kuchukua Tuzo hizo! Fact ni kuwa sasa Wabongo hatuhitaji kumtafuta mchawi ni nani katika tuzo hizi ila inatakiwa tujifunze na Tufanye mambo makubwa sana mwaka Ujayo!
Ni kawaidaa yetu wabongo kutokubali ukweli ila kiuharisia hizi tuzo watanzania hata tungekuwa wengi kiasi gani walioshiriki hizi tuzo walikuwa katika vipengele vigumu sanaaa tofauti na uwezo wao! Angalia Rayvanny hana mafanikio makubwaa ingekuwa vigumu kushinda mbele ya Tekno aliekuwa vizuri sana Mwaka huu hata wabongo tungekuwa wengi kiasi gani na kwa umoja gani hiyo tuzo ingekuwa vigumu sana kutokana alie shiriki kutokuwa na Mafanikio!
Vipengele ambavyo mimi nilikuwa navitazama ni best male,artist of the year,na best Female! Ila vingine vyote wabongo tuliwekwa ili kunogesha Mashindano...Na vingine tulibebwa na watu hatukustahili kuwepo huo ndo ukweli!
Hizi tuzo mshindi anapatikana kwa njia ya kupigiwa kura ila sidhani kama Kura ndo zinasema mshindi ni nani waandaji wanatakiwa kutwambia kilicho nje ya kura! Kinachonifanya niseme hivi ni hivi Hawa walio kuwa wanawania kipengele cha Best Male in Africa ndio wale wale Walio wania Best MALE IN AFRIKA katika tuzo za BET na wapiga kula ni wale wale na Team zetu ni zile zile na population ni ile ile Iweje mtu anapata tuzo BET halafu anakosa MTV Mama kama kigezo ni kura?
Iweje mtu anakosa tuzo BET anapata MTVMama akati wapiga kura ni wale wale na hamna kipya kilichofanyika? Waandaji wanapaswa kutuambia kilicho nyuma ya Tuzo hizi! Ila kwa kigezo cha Kura huo ni uongo!
Diamond kurudi tena kushiriki hizi tuzo ni jambo kubwa na kumbuka DAVIDO Hajarudi wala Psquare lakini kiuharisia mwaka huu diamond hakufanya vizuri yeye kama yeye maana Katoa wimbo Mmoja katika mwaka kabla ya tuzo ila kashirikishwa sanaaa! Huku wizkid akiwa na Ojuolegba na Final! Kiuharisia Diamond hakuwa na nafasi kubwa ya kushinda mbele ya Wizkid Tukumbuke Skeleu ilimpa tuzo Davido!
Kwa upande wangu nasema Hongera Wizkid ulistahili hii tuzo Ila kura sio kigezo wabongo hata tungelala tunavote! Angalia na mfumo ulio tumika kuvote!! Kikubwa tuongeze juhudi