Sahani20 JF-Expert Member Joined Feb 11, 2013 Posts 1,518 Reaction score 741 Sep 1, 2017 #1 hongera zao baadhi ya wasanii wa marekani, wasanii wa tanzania ni vizuri kujifunza kitu kutoka kwa hawa wasanii wenzenu sio kwamba mchukue tu kwa mashabiki, mkumbuke na kuzirudisha kwa nyakati kama zilizowapata hawa wenzetu wa texas
hongera zao baadhi ya wasanii wa marekani, wasanii wa tanzania ni vizuri kujifunza kitu kutoka kwa hawa wasanii wenzenu sio kwamba mchukue tu kwa mashabiki, mkumbuke na kuzirudisha kwa nyakati kama zilizowapata hawa wenzetu wa texas
HARUFU Platinum Member Joined Jan 21, 2014 Posts 31,563 Reaction score 48,223 Sep 1, 2017 #2 Mtoto wa DJ KHALED nae kazidi kelele. DJ KHALED nimependa jinsi alivyohamasisha. Safi sana. Ni mfano wa kuigwa
Mtoto wa DJ KHALED nae kazidi kelele. DJ KHALED nimependa jinsi alivyohamasisha. Safi sana. Ni mfano wa kuigwa
Sahani20 JF-Expert Member Joined Feb 11, 2013 Posts 1,518 Reaction score 741 Sep 1, 2017 Thread starter #3 HARUFU said: Mtoto wa DJ KHALED nae kazidi kelele. DJ KHALED nimependa jinsi alivyohamasisha. Safi sana. Ni mfano wa kuigwa Click to expand... TI nae ametisha
HARUFU said: Mtoto wa DJ KHALED nae kazidi kelele. DJ KHALED nimependa jinsi alivyohamasisha. Safi sana. Ni mfano wa kuigwa Click to expand... TI nae ametisha
HARUFU Platinum Member Joined Jan 21, 2014 Posts 31,563 Reaction score 48,223 Sep 1, 2017 #4 geophrey20 said: TI nae ametisha Click to expand... Ila sijapenda ma F, F, F, yake, na Mavidole. BAA kubwa kama hili ilibidi awakilishe kinidhamu, sio Kikomedi Komedi. Mbona mwenzake Chris Brown amewakilisha vyema
geophrey20 said: TI nae ametisha Click to expand... Ila sijapenda ma F, F, F, yake, na Mavidole. BAA kubwa kama hili ilibidi awakilishe kinidhamu, sio Kikomedi Komedi. Mbona mwenzake Chris Brown amewakilisha vyema
donlucchese JF-Expert Member Joined Mar 23, 2011 Posts 17,128 Reaction score 21,885 Sep 1, 2017 #5 Dwayne Johnson amenena vyema sana Sent using Jamii Forums mobile app
lynne JF-Expert Member Joined Oct 16, 2014 Posts 897 Reaction score 1,182 Sep 1, 2017 #6 Wamefanya vizuri kwa kweli
Mama Sabrina JF-Expert Member Joined Jul 30, 2016 Posts 16,620 Reaction score 27,589 Sep 1, 2017 #7 HARUFU said: Mtoto wa DJ KHALED nae kazidi kelele. DJ KHALED nimependa jinsi alivyohamasisha. Safi sana. Ni mfano wa kuigwa Click to expand... Huyo mtoto anavyopendwa jamani unaweza hisi we huna baba
HARUFU said: Mtoto wa DJ KHALED nae kazidi kelele. DJ KHALED nimependa jinsi alivyohamasisha. Safi sana. Ni mfano wa kuigwa Click to expand... Huyo mtoto anavyopendwa jamani unaweza hisi we huna baba
Mama Sabrina JF-Expert Member Joined Jul 30, 2016 Posts 16,620 Reaction score 27,589 Sep 1, 2017 #8 Wasanii wa mbele wana pesa ,,halaf huyu Dj khaled anaongea vizuri kweli ana lisauti flan amazing sema tu huo unene ndio challenge
Wasanii wa mbele wana pesa ,,halaf huyu Dj khaled anaongea vizuri kweli ana lisauti flan amazing sema tu huo unene ndio challenge