Hatimaye baada ya subira ya mda mrefu mambo yako wazi. Ze dude umekuwa wa muhimu sana kwa kutupa info za awali na kuahidi kutupa zilofuatia. Hauna ubinafsi nakupenda kwa hilo, ulitoa tokeo la DSM japo mwenyewe hukupangwa huko. Pamoja na kuwa kila kitu kiko wazi endelea kudumu kwenye jukwaa la elimu siku zote kwani mchango wako haupimiki. Na kwa sisi sote tuendelea kuwamo humu ndani tukishaurina jinsi ya kusukuma life la chuo. Tuwashauri pia watakaomaliza 6 miaka ijayo juu ya uchaguzi wa faculty n.k. LONG LIVE JF. Mungu mbariki Dude, Mungu ibariki Tanzania.
yan hata mimi namkubal sana jamaa!!!! mungu ambariki sana...
kama huoni basi ww kipofu alafu SUA ndipo alipo Ze dudez,kijana matunda ya bro lyimoSioni ata alichokifanya..vile wewe umechaguliwa UDSM,,ndo unampa pongezi ze duduz... Ungeeenda SUA yote haya usingeyasema...
Sioni ata alichokifanya..vile wewe umechaguliwa UDSM,,ndo unampa pongezi ze duduz... Ungeeenda SUA yote haya usingeyasema...
kama huoni basi ww kipofu alafu SUA ndipo alipo Ze dudez,kijana matunda ya bro lyimo
Kumbe masela wa mjengoni nyie!!! Big up mnawakilisha vyema.
Natafuta waboyzia mi member wa vatican city wachinjakobe
Tafuta SAMITI a.k.a mpigamsili na yeye ni mboyzia.
Mimi binafsi ni product ya SOBIBO CHAMBER Milambo Dormitory,