King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Umoufia Kwenu wana JF,
Mwenyekiti Mtendaji wa Kampuni ya YECCO Group ambayo inajishughulisha na Ndege,madini pamoja na umeme,Ndugu Yericko Nyerere ametoa funzo kwa vijana kwamba Hard work Pays.
Wengi walikuwa wanamchukulia simple tu kama mkulima wa Bamia Mbutu kumbe akili yake ni Zaidi ya King Kong,Ndugu Yericko Nyerere amejenga Ghorofa yenye floor mbili maeneo ya kichangani Mbutu mita 500 kutoka baharini.
Vijana wa Lumumba mjifunze sio lazima ulambe miguu ya viongozi wa serikali/Lumumba ili uteuliwe kuwa RC,DC,DAS,RAS,DED ili utusue kimaisha.Yericko ameweza kujenga mjengo wa zaidi ya milioni 200 Pasipo kulamba miguu ya kifutu wala ya Chakubanga.
Hongera Sana Yericko Nyerere.
Mwenyekiti Mtendaji wa Kampuni ya YECCO Group ambayo inajishughulisha na Ndege,madini pamoja na umeme,Ndugu Yericko Nyerere ametoa funzo kwa vijana kwamba Hard work Pays.
Wengi walikuwa wanamchukulia simple tu kama mkulima wa Bamia Mbutu kumbe akili yake ni Zaidi ya King Kong,Ndugu Yericko Nyerere amejenga Ghorofa yenye floor mbili maeneo ya kichangani Mbutu mita 500 kutoka baharini.
Vijana wa Lumumba mjifunze sio lazima ulambe miguu ya viongozi wa serikali/Lumumba ili uteuliwe kuwa RC,DC,DAS,RAS,DED ili utusue kimaisha.Yericko ameweza kujenga mjengo wa zaidi ya milioni 200 Pasipo kulamba miguu ya kifutu wala ya Chakubanga.
Hongera Sana Yericko Nyerere.