HongeraYericko Nyerere Kwa Ghorofa la Floor Mbili,Funzi kwa Lumumba FC

ajiandae na figisu za wale jamaa wa fitina

maana hakawii kuambiwa kavamia "open space" au kajenga kwenye kiwanja cha watoto yatima
 
ajiandae na figisu za wale jamaa wa fitina

maana hakawii kuambiwa kavamia "open space" au kajenga kwenye kiwanja cha watoto yatima
Hahahaha hawawezi kiwanja kina Mawe(Kimepimwa),Kama wakimnyang'anya itabidi wamlipe fidia ya kila kitu maana mjengo umejengwa na kibali.
 
Serikali ilivyo na chuki kwa upinzani usishangae akawekewa ex na akaambiwa kajenga barabarani au kwenye mwambao wa bahari
 
Serikali ilivyo na chuki kwa upinzani usishangae akawekewa ex na akaambiwa kajenga barabarani au kwenye mwambao wa bahari
Hawawezi maana taratibu zilifuatwa za ujenzi na kibali kilitoka,kama wakijitoa ufahama watabuluzwa mahakamani kumbuka kuna Mallya,kibatala,prof safari hawachomoki kama wakifunguliwa kesi.
 
Serikali haishindwi lakini huwezi jua kwani ni wangapi walikuwa na hati na vibali kamili lakini serikali ilitumia nguvu na wakabomolewa
Hawawezi maana taratibu zilifuatwa za ujenzi na kibali kilitoka,kama wakijitoa ufahama watabuluzwa mahakamani kumbuka kuna Mallya,kibatala,prof safari hawachomoki kama wakifunguliwa kesi.
 
Serikali haishindwi lakini huwezi jua kwani ni wangapi walikuwa na hati na vibali kamili lakini serikali ilitumia nguvu na wakabomolewa
Wakijitoa ufahamu wanaweza ila wakipelekwa mahakamani wataangukia pua round ya kwanza tu,serikali nayo inaangalia "loop holes" hawaendi kichwa kichwa,sehemu wanazofanya hivyo wanaangalia sehemu gani wanaweza wakatoka napo,eg mbowe alivyobomolewa vitega uchumi vyake kuna vitu walitoka navyo vya kiujanja ujanja......ila kwa yericko kiwanja kauziwa na manispaa ya kigamboni,vibali vya ujenzi vimetolewa na manispaa! Hapo watatafuta kumlipa ma BILIONI.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…