sitaki hela
Member
- Oct 10, 2022
- 93
- 117
Niende moja Kwa moja,
Kwa pongezi zangu Kwa baadhi ya viongozi wa dini Kwa KUSIMAMIA HAKI hasa kipindi hiki Cha uchaguzi, Mungu awabariki
Ila kuna baadhi ya viongozi wa dini wenyewe wanasubiri kuwaibia waumini sadaka zao kwa kuwaongopea njoo na hiki, mara chukua hiki, utapona, hapa nawalenga baadhi ya wanaojiita manabii, sijawahi sikia wanakemea maovu, wamebaki kusifia tu, mfano kutekwa Kwa watu, kupotea, wapinzani kukamatwa, hata kile kipindi Tundu Lissu kupgwa risasi, wenyewe wanasubiri Jumapili ifike wakusanye sadaka
Sio jambo zuri, usifikiri Mungu hawaoni, ipo siku mtajibu
Kwa pongezi zangu Kwa baadhi ya viongozi wa dini Kwa KUSIMAMIA HAKI hasa kipindi hiki Cha uchaguzi, Mungu awabariki
Ila kuna baadhi ya viongozi wa dini wenyewe wanasubiri kuwaibia waumini sadaka zao kwa kuwaongopea njoo na hiki, mara chukua hiki, utapona, hapa nawalenga baadhi ya wanaojiita manabii, sijawahi sikia wanakemea maovu, wamebaki kusifia tu, mfano kutekwa Kwa watu, kupotea, wapinzani kukamatwa, hata kile kipindi Tundu Lissu kupgwa risasi, wenyewe wanasubiri Jumapili ifike wakusanye sadaka
Sio jambo zuri, usifikiri Mungu hawaoni, ipo siku mtajibu