Hongereni Chato secondary na Magufuri secondary

Hongereni Chato secondary na Magufuri secondary

loulla

Senior Member
Joined
Jun 11, 2016
Posts
125
Reaction score
91
Nachukua nafasi hii kuzipongeza shule za Chato na Magufuli kwa kupata matokeo mazuri kidato cha sita 2017, hii ni moja ya njia ya kutokumuangusha rais wetu, mmefanya vizuri kwa kutokutoa div 4 na 0.
c15b03bc6b3fc751dcec58448aa684e0.jpg
8bb9a74c5854dc50d12d91d4cb2b9bfb.jpg

nmejaribu kucompare na shule chache zenye majina kama hizi na kuona mnastahili pongezi
c478a5115f302be3535835d91bb34fdd.jpg
fb38d9ae9e0564fd2a6c2853c9de99f4.jpg
aa3532011e16ac8ee92c64b1e3ea7d30.jpg

na nyingine nyingi, hongereni sana[emoji122] [emoji122] [emoji122]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] we acha tuu
 
Loyola imeingiaje hapo?

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Huu mwaka overall results ni nzuri, usishangae kuona hamna div 4, hiyo ni karibu shule zote majority wamepata one-three...

Ili ujihakikishie uhakika wa kwenda chuo inabidi ugonge div one kabisa, otherwise competition itakuwa kubwa sana

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Wanafunzi wamefanya vizuri

Tunawatakia masomo mema mbeleni na wapae zaidi.
 
Back
Top Bottom