loulla
Senior Member
- Jun 11, 2016
- 125
- 91
Nachukua nafasi hii kuzipongeza shule za Chato na Magufuli kwa kupata matokeo mazuri kidato cha sita 2017, hii ni moja ya njia ya kutokumuangusha rais wetu, mmefanya vizuri kwa kutokutoa div 4 na 0.
nmejaribu kucompare na shule chache zenye majina kama hizi na kuona mnastahili pongezi
na nyingine nyingi, hongereni sana[emoji122] [emoji122] [emoji122]
nmejaribu kucompare na shule chache zenye majina kama hizi na kuona mnastahili pongezi
na nyingine nyingi, hongereni sana[emoji122] [emoji122] [emoji122]