Hongereni CRDB Bank kwa customer service

Hongereni CRDB Bank kwa customer service

Aiza wewe ni crdb unajitupia ujiko au huwajui crdb wewe upande wa kastama kea.

Unaweza kulia machozi aisee.

Kuna siku nilikuwa safari, nafika moshi kadi ikamezwa tena tawi kubwa kabisa pale moshi mjini, na muda wa kazi ulikuwa bado nikazama ndani nikamuona kijana mmoja kaulamba fresh tu nikajua huyu mshkaji muelewa nikampa shida yangu akachangamka kishenzi nikawaza kama wewe. Yule mbwa alinitolea kweli kadi ila alinidai hela balaa. Yaani iligeuka deni alidai hela utadhani kaniuzia kitu
 
Itakuwa Mbezi, kuna mtu nilimkuta kadi yake imemezwa, sijajua kama aliwacheck ama lah! Jana hiyo.
Me kutoa hela kwa kadi hadi naogopaga. Niliwahi kulala mahala ambapo sikutegemea.
 
Desemba 25 nilienda Ku withdraw pesa ATM. Kadi ikamezwa, nikapiga namba ya simu iliyobandikwa ukutani ndani ya ATM. Baada ya dakika 10 wahudumu wakaja, wakaingia ndani na kuniletea kadi yangu✅. Yaani desemba 25 wako kazini. Big up.
Inakuaje hadi kadi yako imezwe? Itaendelea kumezwa hadi lini?
 
Me kutoa hela kwa kadi hadi naogopaga. Niliwahi kulala mahala ambapo sikutegemea.
Hahah pole sana, dirishani/wakala mm mpaka niwe nahitaji bunda kubwa! Plus kupoteza mda
 
CRDB ni kweli wanajitahidi sana. Mi kuna kipindi nolienda India na mdogo wangu sasa kuna pesa ilitakiwa atumiwe kwenye account yake,kumbe account ipo domant haijatumika muda mrefu na ni pesa toka serekalini lazima iingie kwenye account yenye jina lake. Nilitafuta mawasiliano na CRDB tukiwa India na wakafanyia kazi account ikawa active akawekewa pesa zake kwakweli wanajitahidi sana.
 
Aiza wewe ni crdb unajitupia ujiko au huwajui crdb wewe upande wa kastama kea.

Unaweza kulia machozi aisee.

Kuna siku nilikuwa safari, nafika moshi kadi ikamezwa tena tawi kubwa kabisa pale moshi mjini, na muda wa kazi ulikuwa bado nikazama ndani nikamuona kijana mmoja kaulamba fresh tu nikajua huyu mshkaji muelewa nikampa shida yangu akachangamka kishenzi nikawaza kama wewe. Yule mbwa alinitolea kweli kadi ila alinidai hela balaa. Yaani iligeuka deni alidai hela utadhani kaniuzia kitu
Mimi sikutozwa hata senti moja. Na halikuwa tawi bali ATM iliyo kwenye kituo cha mafuta cha Oryxy.
IMG_20241226_203045.JPG
 
Desemba 25 nilienda Ku withdraw pesa ATM. Kadi ikamezwa, nikapiga namba ya simu iliyobandikwa ukutani ndani ya ATM. Baada ya dakika 10 wahudumu wakaja, wakaingia ndani na kuniletea kadi yangu✅. Yaani desemba 25 wako kazini. Big up.
Crdb wanajitahidi sana.
 
Back
Top Bottom