Hongereni Deportivo de Maccolo Kwa Kutinga Makundi

Hongereni Deportivo de Maccolo Kwa Kutinga Makundi

MwananchiOG

JF-Expert Member
Joined
Apr 4, 2023
Posts
1,970
Reaction score
4,037
Hongereni sana watani kwa kufanikiwa kutinga hatua ya makundi klabu bingwa Barani Afrika.Pongezi pia kwa Tanzania kwa kufanikiwa kuingiza vilabu viwili katika mashindano makubwa barani Afrika.Ninavyoona kwa kasi hii ya ukuaji wa mpira wa miguu nchini Tanzania, Miaka mitano mbele Tanzania itakuwa tishio Afrika.Vilabu vingi havitatamani kuja kucheza na vilabu vya Tanzania.

Pongezi pia kwa Azam na Singida Fountain Gates. Mmmejitahidi kwa uchanga wenu mpaka kufikia hapo mlipofikia, Msikate tamaa, Tuangalie tulipokosea, Tujipange zaidi kwa Msimu ujao!

Tchao!
 
Hakika ni jambo la kutufuta machozi na aibu ya kichwa cha mwendawazimu, rasmi hiyo kauli inaanza kufa taratibu.

Miaka ijayo Simba na Yanga waweza kukutana fainali.
 
Hongereni sana watani kwa kufanikiwa kutinga hatua ya makundi klabu bingwa Barani Afrika.Pongezi pia kwa Tanzania kwa kufanikiwa kuingiza vilabu viwili katika mashindano makubwa barani Afrika.Ninavyoona kwa kasi hii ya ukuaji wa mpira wa miguu nchini Tanzania, Miaka mitano mbele Tanzania itakuwa tishio Afrika.Vilabu vingi havitatamani kuja kucheza na vilabu vya Tanzania.

Pongezi pia kwa Azam na Singida Fountain Gates. Mmmejitahidi kwa uchanga wenu mpaka kufikia hapo mlipofikia, Msikate tamaa, Tuangalie tulipokosea, Tujipange zaidi kwa Msimu ujao!

Tchao!
SC Deportivo de Maccolo...
 
Hizi kebehi zitufanye timu ya Simba tubadilike kwenye uchezaji.
 
Papatu papatu mpaka makundi, na safari itaishia hapo hapo kwa kushika mkia.
 
Hongereni sana watani kwa kufanikiwa kutinga hatua ya makundi klabu bingwa Barani Afrika.Pongezi pia kwa Tanzania kwa kufanikiwa kuingiza vilabu viwili katika mashindano makubwa barani Afrika.Ninavyoona kwa kasi hii ya ukuaji wa mpira wa miguu nchini Tanzania, Miaka mitano mbele Tanzania itakuwa tishio Afrika.Vilabu vingi havitatamani kuja kucheza na vilabu vya Tanzania.

Pongezi pia kwa Azam na Singida Fountain Gates. Mmmejitahidi kwa uchanga wenu mpaka kufikia hapo mlipofikia, Msikate tamaa, Tuangalie tulipokosea, Tujipange zaidi kwa Msimu ujao!

Tchao!

Mzungu pori alikuwa anainakshi Utopolo kwa Kuiita 'FC Deportivo de Utopolo..'

Ana dhambi sana Mzungu pori
 
Back
Top Bottom