Hongereni Jambo tv, ujasiri wenu umewalipa

Hongereni Jambo tv, ujasiri wenu umewalipa

JOHNGERVAS

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2016
Posts
1,011
Reaction score
1,681
Takwimu za Video zao Mtandaoni za Jana na Leo za watu waliokuwa wanfuatilia uchaguzi chadema Kupitia JAMBO TV

🅴 TUNDU LISSU ANAZUNGUMZA MUDA HUU

Kutazamwa: elfu 140Ilitiririshwa saa 2 zilizopita

MOTO UMEWAKA MLIMANI CITY KURA ZA MBOWE NA LISSU ZIKIHESABIWA

Kutazamwa: elfu 92Ilitiririshwa saa 8 zilizopita

MTIFUANO MKALI LISSU NA MBOWE MLIMANI CITY

Kutazamwa: elfu 125Ilitiririshwa saa 23 zilizopita

(Hizi ni chache tu ila ukiingia kwenye Youtube utaona vile walivyopata engagemnet kubwa

napenda kutoa salamu za pongezi za dhati kwa Jambo TV Tanzania, televisheni ya mtandaoni ambayo imekuwa kioo cha uwazi na ukweli katika kurusha maudhui kwa uwiano bila kuogopa watawala. Kwa ujasiri wenu wa kuhakikisha sauti za Watanzania zinasikika na ukweli unaangaziwa, mmekuwa chachu ya mabadiliko katika jamii yetu.

Pia, nawapongeza kwa kazi kubwa na nzuri mliyofanya wakati wa uchaguzi wa CHADEMA ngazi ya taifa. Michango yenu ya kitaalamu na yenye uzalendo katika kufikisha taarifa kwa umma kwa uwazi na uwajibikaji, imekuwa mfano wa kuigwa kwa vyombo vingine vya habari nchini.

Mmetuonyesha kwamba vyombo vya habari vinaweza kuwa chombo cha haki, maendeleo, na mshikamano wa kijamii. Endeleeni na moyo huo wa kutetea ukweli, haki, na uwajibikaji. Taifa lina waandishi mahiri, wapambanaji wa kweli kama ninyi.

Hongereni sana na endeleeni kupaza sauti za wanyonge kwa manufaa ya taifa letu.
 
Mkuu hata "CROWN TV" wwanastahili pongezi na shukrani za dhati kabisa Nao walirusha mwanzo mpaka mwisho. Hongera kwa uongozi na menejimenti.
Kweli kabisa hata UTV pia walijitahidi. nimewapongeza JAMBO maana hata wakati wa uchaguzi wa serikal za mitaawalikuwa wanarusha habari zote hata zle ambazo huwezi kuzikuta kwenye chombo kingine chochote
 
Mkuu hata "CROWN TV" wwanastahili pongezi na shukrani za dhati kabisa Nao walirusha mwanzo mpaka mwisho. Hongera kwa uongozi na menejimenti.
Wajitahidi kwenye video quality ... Wameachwa parefu na UTV
 
Takwimu za Video zao Mtandaoni za Jana na Leo za watu waliokuwa wanfuatilia uchaguzi chadema Kupitia JAMBO TV

🅴 TUNDU LISSU ANAZUNGUMZA MUDA HUU

Kutazamwa: elfu 140Ilitiririshwa saa 2 zilizopita

MOTO UMEWAKA MLIMANI CITY KURA ZA MBOWE NA LISSU ZIKIHESABIWA

Kutazamwa: elfu 92Ilitiririshwa saa 8 zilizopita

MTIFUANO MKALI LISSU NA MBOWE MLIMANI CITY

Kutazamwa: elfu 125Ilitiririshwa saa 23 zilizopita

(Hizi ni chache tu ila ukiingia kwenye Youtube utaona vile walivyopata engagemnet kubwa

napenda kutoa salamu za pongezi za dhati kwa Jambo TV Tanzania, televisheni ya mtandaoni ambayo imekuwa kioo cha uwazi na ukweli katika kurusha maudhui kwa uwiano bila kuogopa watawala. Kwa ujasiri wenu wa kuhakikisha sauti za Watanzania zinasikika na ukweli unaangaziwa, mmekuwa chachu ya mabadiliko katika jamii yetu.

Pia, nawapongeza kwa kazi kubwa na nzuri mliyofanya wakati wa uchaguzi wa CHADEMA ngazi ya taifa. Michango yenu ya kitaalamu na yenye uzalendo katika kufikisha taarifa kwa umma kwa uwazi na uwajibikaji, imekuwa mfano wa kuigwa kwa vyombo vingine vya habari nchini.

Mmetuonyesha kwamba vyombo vya habari vinaweza kuwa chombo cha haki, maendeleo, na mshikamano wa kijamii. Endeleeni na moyo huo wa kutetea ukweli, haki, na uwajibikaji. Taifa lina waandishi mahiri, wapambanaji wa kweli kama ninyi.

Hongereni sana na endeleeni kupaza sauti za wanyonge kwa manufaa ya taifa letu.
Jambo TV ni next level.....toka enzi za Magu wako Byeeeee
 
Pia, nawapongeza kwa kazi kubwa na nzuri mliyofanya wakati wa uchaguzi wa CHADEMA ngazi ya taifa. Michango yenu ya kitaalamu na yenye uzalendo katika kufikisha taarifa kwa umma kwa uwazi na uwajibikaji, imekuwa mfano wa kuigwa kwa vyombo vingine vya habari nchini.
Sahihi
 
Back
Top Bottom