Hongereni Kenya kuikalia kooni serikali dhidi ya bajeti kandamizi 2024/25

Hongereni Kenya kuikalia kooni serikali dhidi ya bajeti kandamizi 2024/25

Mpalakugenda

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2015
Posts
4,611
Reaction score
5,009
Tanzania tuna jambo la kujifunza namna ya kuibana serikali iachane na kodi kandamizi zinazopelekea maisha kuwa magumu.

Baadhi ya maeneo ambayo kenya wamekuwa wakali ni kodi kwenye mafuta ya kula ambapo ni rahisi kuagiza mafuta kenya kuliko yanayozalishwa nchini.

Kadi katika mitandao ya simu nalo limekuwa kaa la moto kwa serikali.

Hakika majirani hamna kulemba kuhusu ukali wa maisha.
 
Sisi hapa wanahabari akina maulidi wanasifia.
Sekta ya habari nchini imechangia pakubwa Sana serikali kuwakanda wananchi wake
 
Ndio kikichobaki tu kwa watz kutoa hongera kwa jiran
 
Back
Top Bottom