Hongereni mashabiki Chawa wa Simba kwa kuwapa makavu viongozi wetu

Mashabiki wa aina hii kwa Klabu za Simba SC na Yanga SC hawakosekani. Hao Role model wako unazikumbuka Kauli zao baada ya kufurushwa Klabu Bingwa Afrika?

Nyie ni mashabiki wa matokeo tu, ambao fikra zenu zinaamini kuwa mafaniko yanakuwa milele tu bila changamoto..!Hawa wanatakiwa wapewe Afya kuhusu mpira..!Kwani kuna kitu kinawasumbua kwenye vichwa vyao!
 
Kwanini unahangaika kumjibu mtu aliyevimbiwa mihogo, Simba hata kama tuna tatizo Huwa hatuhusushi matatizo yetu na utopolo
 
Acheni malalamiko Simba ipo Imara.
Huwa nashangaa watu kulaumu wachezaji mara makocha hao wote uliowataja wengi wao wana magoli tayari kwny ligi. Kila siku nasema changamoto hazikosekani ikiwa Simba ni taasisi kubwa.
 
Kwani malalamiko yako hasa ni yepi, maana umesema kila kitu mpaka CEO kwenda kuiona Timu yake ya Wasichana hutaki
Unataka nini hasa?
 
We ndio unajua mpirq
 
Katika team mbovu Tanzania yanga namba moja kama mnabisha ifanyieni lamination hii comment yangu siku mechi za makundi zikianza tutajua ipi team mbovu na nzima sio hizi mechi za ndani kila siku waamuzi wanafungiwa yaani yanga ile ya wazee kina juma shabani lomalisa pamoja na bigirimana ndio mnaiona bora na unbeaten ya mchongo sisi tupo hapa ngoja mechi za Caf confederation cup zianze tutaona.
 
Yanga wanajificha kwenye matatizo ya simba ila kiukweli kwa wanaojua mpira pale hamna team wachezaji wote wazee wale wamebakisha msimu mmoja tu wastaafu ukimtoa yule msheri na nkane pamoja na feisal na yule dogo wa jana wote wazee na yule mwinyi zahera alishasema yanga ikija kukutana na team zenye kasi kama vipers na wale al hilal hakuna beki wala kiungo wa yanga anagusa mpira.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…