bryan2
JF-Expert Member
- Jun 8, 2016
- 3,323
- 4,679
Jana umepigwa mtanange wa watani wa jadi Yanga na Simba na matokeo yake ni Yanga kupoteza kwa mikwaju ya Penati baada ya dk 90 timu zote kutoshana nguvu kwa matokeo ya bila kufungana.
Asilimia kubwa ya Watu walikua wakijua simba atapata ushindi wa kirahisi kutokana na aina ya usajili alioufanya lakini la hasha haikua hivyo Yanga walipambana Wakiongozwa na kiungo fundi/mdukuaji/ Papii Tshishimbi ambaye hajakaaa na timu hata mwezi ila alicheza mpira mzuri mnoo
Licha ya kupoteza kwa Mikwaju ya penati Mashabiki Wa Yanga wamekua watulivu wakijua nini maana ya matokeo ya mpira ila narudia tena ila ingekua ni upande wa pili umefungwa sidhani kama kocha angekua salama mpaka sasa.
Nlichoona Mechi ya jana angalau timu zimeonesha Ufundi na kuacha kucheza kwa kukamiana hongereni kwa hilo.
Tunategemea Michezo mizuri zaidi ijayo na maandalizi mema kwa kuanza msimu wa Ligi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Asilimia kubwa ya Watu walikua wakijua simba atapata ushindi wa kirahisi kutokana na aina ya usajili alioufanya lakini la hasha haikua hivyo Yanga walipambana Wakiongozwa na kiungo fundi/mdukuaji/ Papii Tshishimbi ambaye hajakaaa na timu hata mwezi ila alicheza mpira mzuri mnoo
Licha ya kupoteza kwa Mikwaju ya penati Mashabiki Wa Yanga wamekua watulivu wakijua nini maana ya matokeo ya mpira ila narudia tena ila ingekua ni upande wa pili umefungwa sidhani kama kocha angekua salama mpaka sasa.
Nlichoona Mechi ya jana angalau timu zimeonesha Ufundi na kuacha kucheza kwa kukamiana hongereni kwa hilo.
Tunategemea Michezo mizuri zaidi ijayo na maandalizi mema kwa kuanza msimu wa Ligi.
Sent using Jamii Forums mobile app