Hongereni mlioihujumu Simba jana, fanyeni hivyo na Azam pia Jumanne

Hongereni mlioihujumu Simba jana, fanyeni hivyo na Azam pia Jumanne

Mwishokambi

JF-Expert Member
Joined
Nov 23, 2020
Posts
390
Reaction score
1,425
Mechi ya jana tunajua kila kitu kilichofanyika, kwanza walianza na Dodoma kule Dodoma lkn hawakufanikiwa, wakafanya na Singida hawakufanikiwa, wakatumia nguvu kubwa sana na Raja, hata kama Raja ni wazuri kiasi gani lkn sio kwa yale yaliyotokea jana, tunajua waarabu walimwaga mpunga wa kutosha kwa mahasimu waliopo ndani ya Simba ambao hawamtaki Mangungu ili tu kutunyima raha, wengine walisikika wakipigiana simu kuambiana wametimiza ahadi zao jana na bado.

Endeleeni kuhujumu timu lkn kuna siku tutaelewana kidogo kidogo, najua mnajipanga kuipa ubingwa Yanga kwenye mechi yetu na Azam.Lakin yana mwisho haya.

Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
 
Mechi ya jana tunajua kila kitu kilichofanyika, kwanza walianza na Dodoma kule Dodoma lkn hawakufanikiwa, wakafanya na Singida hawakufanikiwa, wakatumia nguvu kubwa sana na Raja, hata kama Raja ni wazuri kiasi gani lkn sio kwa yale yaliyotokea jana, tunajua waarabu walimwaga mpunga wa kutosha kwa mahasimu waliopo ndani ya Simba ambao hawamtaki Mangungu ili tu kutunyima raha, wengine walisikika wakipigiana simu kuambiana wametimiza ahadi zao jana na bado.

Endeleeni kuhujumu timu lkn kuna siku tutaelewana kidogo kidogo, najua mnajipanga kuipa ubingwa Yanga kwenye mechi yetu na Azam.Lakin yana mwisho haya.

Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
Jana Nani hakucheza?. Chama au mkude!?. Boko? Au kanute?, Inonga?. Koloz
 
Sasa hua sielewi, ni kwamba mnawaambia wachezaji wacheze ovyo au? Wafungwe makusudi au! Yaani hii nchi Kuna mijitu mijinga sana, wenzako wanawekeza pesa nyingi kuanzia kwa wachezaji, vifaa vya mazoezi, uwanja, makocha na trainees, madaktari wa timu, maslahi ya wachezaji we uko busy na majungu na ushirikina eti unasema mnahujumiwa
 
Mwamedi anajitoa akili.
NAOMBA KOCHA ASILAUMIWE KWA LOLOTE. QUALITY NDIO IMEAMUA MCHEZO.

UNALETA AKINA MANZOKI KWENYE KAMPENI..
UNAPOTEZA
Dilunga, miquesson, Lwanga, Mugalu, Wawa, Kagere Unaleta.

Banda.
Sawadogo.
Ottara.
Kanute.
Okra.

HAWA NI MIZIGO.
UONGOZI WA SIMBA JITAFAKARINI
 
Kuna mashabiki wengi wenye utindio wa ubongo, Unaposema unahujumiwa unatakiwa angalau uonyeshe aina ya kikosi ulichonacho ili tujue kweli umehujumiwa!! Unasema umehujumiwa wakati usajili wako ulikuwa wa kusajili reject waliokaa mwaka mzima awajacheza mpira alafu unataka upate matokeo the same na wenzako waliofanya usajili wa maana? Mko serious kweli nyie? Mmebaki kujazwa upepo na msemo wa kwa mkapa atoki mtu bila kuangalia aina ya timu uliyonayo sasa hivi na ile mliyokuwa nayo misimu 2 iliyopita ziko sawa? Acheni upuuzi wenu Simba aina timu ya kucheza michuano ya kimataifa msimu huu mjipange msimu ujao, Bahati nzuri mpira unachezwa hadharani tunaona, akuna cha hujuma wala nini, Mechi za ligi ya ndani tu mnapata tabu kupata matokeo akikosekana mchezaji mmoja tu mnapumulia mashine vipi mechi za kimataifa?
 
Mechi ya jana tunajua kila kitu kilichofanyika, kwanza walianza na Dodoma kule Dodoma lkn hawakufanikiwa, wakafanya na Singida hawakufanikiwa, wakatumia nguvu kubwa sana na Raja, hata kama Raja ni wazuri kiasi gani lkn sio kwa yale yaliyotokea jana, tunajua waarabu walimwaga mpunga wa kutosha kwa mahasimu waliopo ndani ya Simba ambao hawamtaki Mangungu ili tu kutunyima raha, wengine walisikika wakipigiana simu kuambiana wametimiza ahadi zao jana na bado.

Endeleeni kuhujumu timu lkn kuna siku tutaelewana kidogo kidogo, najua mnajipanga kuipa ubingwa Yanga kwenye mechi yetu na Azam.Lakin yana mwisho haya.

Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app

Mkosaji……..
Kuna wakati tukubaliana na ukweli Quality ya wachezaji imeamua mechi acheni unafki na 7bu zisizo na maana wenzetu Ulaya mfano Chelsea kila game wanafungwa na hutosikia habari za hujuma
 
Keanu sawa dogo na
Mechi ya jana tunajua kila kitu kilichofanyika, kwanza walianza na Dodoma kule Dodoma lkn hawakufanikiwa, wakafanya na Singida hawakufanikiwa, wakatumia nguvu kubwa sana na Raja, hata kama Raja ni wazuri kiasi gani lkn sio kwa yale yaliyotokea jana, tunajua waarabu walimwaga mpunga wa kutosha kwa mahasimu waliopo ndani ya Simba ambao hawamtaki Mangungu ili tu kutunyima raha, wengine walisikika wakipigiana simu kuambiana wametimiza ahadi zao jana na bado.

Endeleeni kuhujumu timu lkn kuna siku tutaelewana kidogo kidogo, najua mnajipanga kuipa ubingwa Yanga kwenye mechi yetu na Azam.Lakin yana mwisho haya.

Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
Kibu wanasemaje?
 
Una mtindio wa ubungo wewe watu aina yako ndio mnasababisha mashabiki tuonekana hatuna akili.
Timu kwa mwaka ina budget $15.6m ufananishe na timu yenye budget ya $1.5m halafu unalalamika umehujumiwa!!
Simba jana mlizidiwa kila kitu usitake kutafuta huruma hapa.
Mbona horoya umeiruka ? Nayo haujahujumiwa?
Tena mshukuru jana mlikuwa mnakufa c chini ya goli 5
 
Mechi ya jana tunajua kila kitu kilichofanyika, kwanza walianza na Dodoma kule Dodoma lkn hawakufanikiwa, wakafanya na Singida hawakufanikiwa, wakatumia nguvu kubwa sana na Raja, hata kama Raja ni wazuri kiasi gani lkn sio kwa yale yaliyotokea jana, tunajua waarabu walimwaga mpunga wa kutosha kwa mahasimu waliopo ndani ya Simba ambao hawamtaki Mangungu ili tu kutunyima raha, wengine walisikika wakipigiana simu kuambiana wametimiza ahadi zao jana na bado.

Endeleeni kuhujumu timu lkn kuna siku tutaelewana kidogo kidogo, najua mnajipanga kuipa ubingwa Yanga kwenye mechi yetu na Azam.Lakin yana mwisho haya.

Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
. View attachment 2523051
Screenshot_20230219-143102_Instagram%20Lite.jpg
 
Back
Top Bottom