Hongereni mlioihujumu Simba jana, fanyeni hivyo na Azam pia Jumanne

Acha ujinga wewe!
Kina nani hao si uwataje?

Kumbuka tulionya kuleta kocha mzungu wakati timu inafanya vizuri hilo ndilo kosa kubwa kufanyika.

Sio rahisi mzungu kushinda katika kipindi kifupi hivi.Anahitaji miaka miwili hadi mitatu.

Ni mpumbavu tu anayetarajia kupata matokeo kwa sasa chini ya huyu mzungu
 
Khe!! Imefikia huku
 
Namimi nataka nijue hizo hujuma zinafanya vipi kazi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…