Hongereni Rwanda kukwamua raia wenu ukraine siyo nchi za kinafiki na unafiki na unafikiiii

Hongereni Rwanda kukwamua raia wenu ukraine siyo nchi za kinafiki na unafiki na unafikiiii

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
yes yes yes hongera dikteta Kagame atleast unajali ....kuna ncgi ya kusadikika hadi leo haijui idadi ya raia wake waliokwama huko ni full u]unafiki tu, raia wa Rwanda wanafunzi waliokwama ni 85 , 79 wako poland na Blearus , 6 wako njiani wako in contact na balozi za Rwanda..kuan nchi ya kusadikiaka haina hata data na mitandao yake ya kijamii imejaa unafiki ukiandika kwa hisia ni full threads kutolewa
Screen Shot 2022-03-01 at 7.29.23 PM.png
 
Mie wangu nimekwambia jiunge jeshi ndio fursa zenyewe nitumie cheki cha jkt, kuna mateja yamepewa smg hata hayajui mtutu unaelekea wapi
 
asa rwanda mbona kachukua raia wake tu , kashindwa kubeba weusi wenzine, basi hata majirani Tanzania, huo sio ubaguzi? hapo ndo ujue kuwa kwako kwanza,tusipende weusi kujishusha sana, tukifanywa kidogo tu tunabaguliwa wakati serikali zetu kimya hata msaada hamana, we unafikiri wataanza kuwatoa raia wenu wakati wakwao wapo na wanaweza kuwa target ya vita, tusijizalau sana.
 
yes yes yes hongera dikteta Kagame atleast unajali ....kuna ncgi ya kusadikika hadi leo haijui idadi ya raia wake waliokwama huko ni full u]unafiki tu, raia wa Rwanda wanafunzi waliokwama ni 85 , 79 wako poland na Blearus , 6 wako njiani wako in contact na balozi za Rwanda..kuan nchi ya kusadikiaka haina hata data na mitandao yake ya kijamii imejaa unafiki ukiandika kwa hisia ni full threads kutolewaView attachment 2135447

Mama anajua hata kama akituma ndege ya kuenda kuwachukua hakuna atakae kubari kurudi Tz,
 
Inaonesha inatumia data zawatu weusi waishio Ukraine wooote sio watanzania
 
Hakuana wanafiki kama watanzania.
Raia wanafiki
Viongozi wanafiki
Masikini wanafiki
Matajiri wanafiki
Waumini wanafiki
Ibada ni zakinafiki
Wazazi ni wanafiki
Watoto ni wanafiki.
Bidhaa na huduma ni zakinafiki.
Sera nizakinafiki
Miradi ni yakinafiki.
Mwandishi na msomaji wote ni wanafiki

UNAFIKI KWA WATANZANIA NI JANGA KUBWA SANA
 
Huku tunapiga hesabu pesa za posho zitapungua wanaona bora wakae pembeni
 
Back
Top Bottom